Kudimba ni kufanyaje ?Kama mm jomoniii....watraammm ila asiwe wa kudimba tuu...japo nilishawahi kuvutiwa na weupe kidogo..
Kunyata...Kudimba ni kufanyaje ?
Kiukweli black is beuty.Mimi sioni kama Black ni beautiful. Huu msemo uko kama wakujiliwaza kwa watu weusi kujipa moyo lakini ukweli hakuna kitu kizuri cheusi. Vitu vyote vizuri vinavovutia ni nyeupe. Mimi ndio maana sipendi kuwa na relationship na wanaume weusi kwa sababu hawanivutii hawana mvuto.
Duuu hayaKunyata...
Brown color(kama huyo mdada),chocolate color na blackish wote ni black race.Hivi huyu ni mweusi au niView attachment 1150804 mweupe?
Hivi huyu ni mweusi au niView attachment 1150804 mweupe?
Aisee kama ww unapenda nyeupe.. haimaanish kuwa wote wanapenda nyeupe. Binafsi navutiwa na chocolate black color. Wako weusi wenye uzuri.Mimi sioni kama Black ni beautiful. Huu msemo uko kama wakujiliwaza kwa watu weusi kujipa moyo lakini ukweli hakuna kitu kizuri cheusi. Vitu vyote vizuri vinavovutia ni nyeupe. Mimi ndio maana sipendi kuwa na relationship na wanaume weusi kwa sababu hawanivutii hawana mvuto.
Mweusi.Hivi huyu ni mweusi au niView attachment 1150804 mweupe?
Siku zote kitu kibaya ndio kinakuwa promoted na misemo ya kutia moyo. Kwa rangi nyeupe hata hakuna misemo kama hii 😂Lakini kama kweli
Huo msemo "black is beauty" ni kama namna ya kuencourage watu weusi waendelee kutunza uasili wao...sio kama ni big deal ama wanavutia kiviiiiile
Mwanaume akiwa mweusi sehemu zake za siri zinakuwa zinatisha 🙈🙈Mwanaume anakuwaje mweupe sasa
Sijichubui mimi na Sijawahi kujichubuaWe mweupe?? Kama mweupe wa kujichubua na mimi ndo vitu vyangu napenda demu alojichubua cheupeee mabakabaka
Kila mtu ana chaguo lake lakini hii bado haibadilishi kama nyeusi haina mvuto.Aisee kama ww unapenda nyeupe.. haimaanish kuwa wote wanapenda nyeupe. Binafsi navutiwa na chocolate black color. Wako weusi wenye uzuri.
Kama vizur vyote ni vyeupe.. Mungu angefuta rangi nyeusi isiwepo duniani.
Nimzuri sana hata hao wazungu hawaoni ndani! Au wewe unaonaje?🤣🤣Chocolate,.
Hata mimi naona hivyohivyo🤣🤣Nimzuri sana hata hao wazungu hawaoni ndani! Au wewe unaonaje?🤣🤣
Mwanaume anakuwaje mweupe sasa
kila mtu anavutiwa na anachokipendaMimi sioni kama Black ni beautiful. Huu msemo uko kama wakujiliwaza kwa watu weusi kujipa moyo lakini ukweli hakuna kitu kizuri cheusi. Vitu vyote vizuri vinavovutia ni nyeupe. Mimi ndio maana sipendi kuwa na relationship na wanaume weusi kwa sababu hawanivutii hawana mvuto.