Hivi kwanini....

Hivi kwanini....

Hivi kwa nini mnanipotezea?mnataka nianzishe thread, nijijibu mwenyewe eeeh?
 
Wewe demu vipi. Unataka tukupe sababu gani.? Ushoga hatuutaki na sababu hatukupi na lolote uwezi kunifanya na kama shoga usiombe ukutane na mimi.
 
Uvutaji wa shisha ni utamaduni wetu? Kama la, ulitokea wapi?
Kumbe tuko selective eh?tunapokea hili kwenye utamaduni wetu,na tunakataa lile....

Kwa nini tunachagua hili na sio lile?Lool

Sijui km umenielewa,as sometimes naongea huku naendika,lol

Kwa nini tunakubali shisha na tunabagua ushoga?
 
Ushoga ni ushetani... na si tamaduni yetu.. maana walio ukoleza ni ngozi nyeupe. Na ukicheki ninkitendo chenye madhara mengi hata kiafya.. na nilaana kubwa mbele za Mungu.
 
Ushoga ni ushetani... na si tamaduni yetu.. maana walio ukoleza ni ngozi nyeupe. Na ukicheki ninkitendo chenye madhara mengi hata kiafya.. na nilaana kubwa mbele za Mungu.
Mkuu embu fafanua jinsi gani ngozi nyeupe walivyokoleza ushoga, na kwanini ushoga sio utamaduni wetu?
 
Kumbe tuko selective eh?tunapokea hili kwenye utamaduni wetu,na tunakataa lile....

Kwa nini tunachagua hili na sio lile?Lool

Sijui km umenielewa,as sometimes naongea huku naendika,lol

Kwa nini tunakubali shisha na tunabagua ushoga?
Heee we vipi?..! Unaambiwa iga kizuri achana na ya kishenzi, kwanza hata hiyo shisha tunaipiga marufuku baada ya kugundua sio nzuri
 
Back
Top Bottom