KikulachoChako
JF-Expert Member
- Jul 21, 2013
- 19,897
- 40,100
Habari wakuu...nimekuwa nikijiuliza hivi hawa watu weupe hivi huwa wanaongozwa na nini mpaka kufikia hatua ya kutushusha thamani watu weusi..ukiangalia hata dini walizotuletea zinahubiri usawa na upendo..inakuwaje wao tena wavigeuke vitabu vyao walivyotuaminisha kuwa ni maneno ya MUNGU..tena mwenye upendo na huruma..au walituletea hizi dini hili kutupumbaza ?..kama vitabu vyao vya dini vinahubiri usawa na upendo kwa viumbe wote...iweje wao watubague sisi weusi?