wa stendi
JF-Expert Member
- Jul 7, 2016
- 24,688
- 26,796
Kwani unakula ngapi sema ukweliHilo swali kwa upande wangu linanikera sijui kwa upande wenu wanazengo?
Kwani unakula ngapi sema ukweliHilo swali kwa upande wangu linanikera sijui kwa upande wenu wanazengo?
Wadada wa siku hizi wanatenda miujiza kuliko aliyotenda Yesu, sijui makanisani mnafata nini??
Wewe sasa unachanganya mambo - hoja hapa ni KUULIZA SIYO KUHOJI MSHAHARA WAKO! Hivi ni vitu viwili tafauti sana. Ila kama kuna watu wanakuuliza mshahara wako ni shilingi ngapi, basi wana nia na lengo la KUTAKA KUKUKOPA! Usihamaki, ila tafuta jibu au majibu ya KISTAARABU TU!Dada mwenye mshahara wa kaki 3 na nusu unatembele Toyota Brevis, umepanga chumba cha laki 2 kwa mwezi na unakula KFC daily kwanini tusikuoji??
Ukiona unaulizwa Sana Hilo swali ujue pia na ww umeweka mazingira ya kuulizwa hivyo I mean like seriously kazi nafanya mm what is the point ya kumwambia mtu kiasi ninacholipwa!!? Itamsaidia nn me nachojua Ni kwamba hakuna mtu anaesemaga total amount ya mshahara wake kwa mtu , na ukiona ujue Ni Muongo weng wao hupunguza au huongezaHilo swali kwa upande wangu linanikera sijui kwa upande wenu wanazengo?
Kwani unalipwa sh ngapi kazini kwakoHilo swali kwa upande wangu linanikera sijui kwa upande wenu wanazengo?