COARTEM
JF-Expert Member
- Nov 26, 2013
- 3,598
- 3,644
Ukisoma mfano udaktari unaenda kuajiriwa kutibu watu, ulipwe vizuri maisha yaende.
Ukiwa mwanasheria vilevile uwanasheria wako ukutoe kimaisha.
Sasa mnaponiambia mimi Mhandisi nilime matikiti, nyanya, ufuta, mpunga, korosho,nk nk ili kujiongezea kipato huu si upuuzi huu.?
Kama hivyo vitu vinalipa si ningeenda kufanya hizo biashara mara tu nilipomaliza fomu 4?
Hebu tuheshimiane; mtumishi wa umma alipwe vizuri, maana alisotea hiyo taaluma yake.
Mfanyabiashara naye awekewe mazingira mazuri ya kufanya biashara ili maisha yaende.
Kutulipa watumishi wa umma mishahara midogo ni kudharilisha Elimu yetu ya Tanzania
Ukiwa mwanasheria vilevile uwanasheria wako ukutoe kimaisha.
Sasa mnaponiambia mimi Mhandisi nilime matikiti, nyanya, ufuta, mpunga, korosho,nk nk ili kujiongezea kipato huu si upuuzi huu.?
Kama hivyo vitu vinalipa si ningeenda kufanya hizo biashara mara tu nilipomaliza fomu 4?
Hebu tuheshimiane; mtumishi wa umma alipwe vizuri, maana alisotea hiyo taaluma yake.
Mfanyabiashara naye awekewe mazingira mazuri ya kufanya biashara ili maisha yaende.
Kutulipa watumishi wa umma mishahara midogo ni kudharilisha Elimu yetu ya Tanzania