Hivi kwanini Putin kashindwa kufanya kwa Zelenskyalichofanyiwa Ayatollah wa Iran na Marekani?

Hivi kwanini Putin kashindwa kufanya kwa Zelenskyalichofanyiwa Ayatollah wa Iran na Marekani?

dogman360

Senior Member
Joined
Oct 15, 2018
Posts
195
Reaction score
313
20260301_083041.jpg
 

Attachments

  • 20260301_083043.jpg
    20260301_083043.jpg
    111.2 KB · Views: 7
Nadhani anajua umri wa mtu una mwisho atajifia tu, lakini ardhi ni endelevu kizazi na kizazi
 
Ndiyo hapo mkiambiwa America ndiye World Superpower mjue. Kwa bahati mbaya kumekuwa na viongozi kama akina Obama, Clinton na Biden kwa kutaka umaarufu wao binafsi ulimwenguni wakaidhoofisha US. Sasa ndiyo mtajua ni kwanini against all odds Trump alirudi na kushinda uchaguzi
 
Back
Top Bottom