Hivi kwanini Mwl. Nyerere hakupewa PhD?

Hivi kwanini Mwl. Nyerere hakupewa PhD?

Shika adabu yako zuzu baba yako na mama yako waliokuzaa unaonekana mtoto wa halamu wewe malezi uliolelewa na mabovu ndiyo maana unatukana watu ovyo.

Sijafundishwa kutukana, nilikuwa namweleza ukweli ndugu yangu Dudus kuhusu caliber yako, -kama nakuona vile unavyonyong'onyea kila inapotajwa Legacy ya Nyerere; siui na hili utaelewa?

c.c. Dudus
 
wapo kitengo maalumu cha kueneza udini mtandaoni....wasikuumize kichwa au kukutafutia BAN bure!
kama nchi hii ina mfumo kristo waende nchi yenye mfumo wao.....soon tutapasua jipu!

kumbe!! sikujua hilo, but wa mbili ni wa mbili tu, hawawezi kupunguza hata sifa 1. ya Mwl.
 
Hii inaonyesha watu anaozungukwa nao rais JK ni washamba. Na kwakuwa hata yeye rais ana'entertain kutumia Dr au Profesa kama formal salutation kwake, nae pia ni mshamba. One uses those titles if obtained in academic settings, i.e. research and/or abundant publications. Period.
 
Sijafundishwa kutukana, nilikuwa namweleza ukweli ndugu yangu Dudus kuhusu caliber yako, -kama nakuona vile unavyonyong'onyea kila inapotajwa Legacy ya Nyerere; siui na hili utaelewa?

c.c. Dudus
Teh teh teh naona unarudisha mpira kwa kipa ulidhani lugha uliokuwa unaitumia unaijua peke yako, huo ndiyo utaratibu wangu ukitaka mijadala ya kiungwana unakaribishwa ukija na lugha za kejeli kama ulizokujanazo unakaribishwa pia.

Karibu sana kamanda!
 
Teh teh teh naona unarudisha mpira kwa kipa ulidhani lugha uliokuwa unaitumia unaijua peke yako, huo ndiyo utaratibu wangu ukitaka mijadala ya kiungwana unakaribishwa ukija na lugha za kejeli kama ulizokujanazo unakaribishwa pia.

Karibu sana kamanda!
we jambazi upo???
 
wapo kitengo maalumu cha kueneza udini mtandaoni....wasikuumize kichwa au kukutafutia BAN bure!
kama nchi hii ina mfumo kristo waende nchi yenye mfumo wao.....soon tutapasua jipu!
Naona unatafuta baasha kwa nguvu wewe punguni.
 
J.K Nyerere (RIP) mpaka aliwahi kutunukiwa degree nyingi tu za heshima...fuatilia link hii hapa (Honoraries & Awards | THE MWALIMU NYERERE FOUNDATION).

Lakini ninachoshindwa kuelewa ni kwanini watanzania wengi hupenda kutukuza na kutukuzwa kwa kuitana Dr.; Prof.... wakati wanayoyafanya ni tofauti kabisa na hivyo vinavyotamkwa...
Maofisini wapo watu ambao usipoanza kwa kuwaita Dr.; Prof hupati huduma kabisa....!!! Wapo ma Dr.; na Ma-Prof wengi tu duniani lakini wanaishi na kushirikiana na watu bila kulazimisha tittle zao....

Unalazimisha kuitwa Dr.; au Prof.; so what.... Uduni wa fikra ni mzigo sana aisee!!!
 
Shika adabu yako zuzu baba yako na mama yako waliokuzaa unaonekana mtoto wa halamu wewe malezi uliolelewa na mabovu ndiyo maana unatukana watu ovyo.
Ninakutamani nikutukane wewe basi ninakusamehe leo!!
 
Shika adabu yako zuzu baba yako na mama yako waliokuzaa unaonekana mtoto wa halamu wewe malezi uliolelewa na mabovu ndiyo maana unatukana watu ovyo.

Halamu ndo nini? Au ulitaka kusema haramu? Hii lugha kumbe inaharibiwa na watu wengi.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom