mr mkiki
JF-Expert Member
- Sep 22, 2016
- 5,583
- 11,659
Chama cha Walimu Tanzania (CWT) chini ya uongozi wako kimepoteza umaarufu, uelekeo, maono, dira kama chama cha wafanyakazi kwasababu zifuatazo
Kimsingi Chama Cha Walimu siyo taasisi ya kujifurahisha, ni taasisi ya HARAKATI za kumkomboa Mwalimu wa Tanzania kwa maendeleo ya Mwalimu
Lakini ukichungulia uelekeo wa sasa naona chama hiki ni shirika la fedha.
Chama hakina kumbukumbu za Walimu Hakijui wako wapi, wanafanya nini, wanafanyiwa nini au wanastahili kufanyiwa nini na chama pamoja na mwajiri. Chama hakijui ni Mwalimu yupi kaajiriwa lini na analipwa vipi na ni lini wanapaswa kupandishwa vyeo/madaraja, kubadilishiwa miundo na kulipwa stahiki zao kwa wakati.
MY TAKE!
Kiujmla chama kina hazina kubwa ya fedha nadhani kisimame chenyewe, kujiendelea kwa kufanya jambo lingine ili kuwalipa wafanyakazi wake walikuwepo.
Pili kama ni ngumu basi kiwe kinawapa walimu asimilia kidogo katika wakati wanastaafu, sio zile bati 20 tu. Yani mwalimu anastaafu umekata hela yake yakutosha unampatia mabati 20 jamani hiki sio chama ni kundi la kifisadi.
Maana faida ya hiki chama mpaka sasa sijaona.
Mr mkiki
Kimsingi Chama Cha Walimu siyo taasisi ya kujifurahisha, ni taasisi ya HARAKATI za kumkomboa Mwalimu wa Tanzania kwa maendeleo ya Mwalimu
Lakini ukichungulia uelekeo wa sasa naona chama hiki ni shirika la fedha.
Chama hakina kumbukumbu za Walimu Hakijui wako wapi, wanafanya nini, wanafanyiwa nini au wanastahili kufanyiwa nini na chama pamoja na mwajiri. Chama hakijui ni Mwalimu yupi kaajiriwa lini na analipwa vipi na ni lini wanapaswa kupandishwa vyeo/madaraja, kubadilishiwa miundo na kulipwa stahiki zao kwa wakati.
MY TAKE!
Kiujmla chama kina hazina kubwa ya fedha nadhani kisimame chenyewe, kujiendelea kwa kufanya jambo lingine ili kuwalipa wafanyakazi wake walikuwepo.
Pili kama ni ngumu basi kiwe kinawapa walimu asimilia kidogo katika wakati wanastaafu, sio zile bati 20 tu. Yani mwalimu anastaafu umekata hela yake yakutosha unampatia mabati 20 jamani hiki sio chama ni kundi la kifisadi.
Maana faida ya hiki chama mpaka sasa sijaona.
Mr mkiki