demigod
JF-Expert Member
- Jan 2, 2015
- 8,250
- 15,116
Hivi kwanini hawa jamaa hawajawahi kuwa na uzi mzuri hata kumshinda Azam FC? Kwanini wasifanye mpango wa kujifunza kwa wataalamu wa KIT kutoka Dar es Salaam Young Africans SC?
Maana walitengeneza hulka kubwa sana kuhakikisha watu wawe makini na uzi ujao, uzi ulivyotangazwa tu kila mtu akaishiwa nguvu.
Halafu kwanini wanawang'ang'ania hawa UhlSport. hawa jamaa hawajawahi kubuni jezi. Wanachofanya ni kuiga bunifu za kit producer wengine.
Haina tofauti na ya msimu uliopita.
Maana walitengeneza hulka kubwa sana kuhakikisha watu wawe makini na uzi ujao, uzi ulivyotangazwa tu kila mtu akaishiwa nguvu.
Halafu kwanini wanawang'ang'ania hawa UhlSport. hawa jamaa hawajawahi kubuni jezi. Wanachofanya ni kuiga bunifu za kit producer wengine.
Haina tofauti na ya msimu uliopita.