Afadhali kuzila kabisaa kwani tuliwaomba???Kabla ya yote toeni euro million 27 mlizochukuwa
Afadhali kuzila kabisaa kwani tuliwaomba???Kabla ya yote toeni euro million 27 mlizochukuwa
Pesa yenyewe sasa!Kabla ya yote toeni euro million 27 mlizochukuwa
Na ndiyo maana Tundu Lissu atamaani wazungu maendelee kututawalaKwani lini Tanzania imeanza kujitegemea kama ata matundu ya choo tunajengewa na wazungu
Ndio mtoe mmezoea kuiba wengine hawaibiwi kirahisi watatafuta hela zao kwa shida toeni euro million 27 la sivyo mtazitapikaAfadhali kuzila kabisaa kwani tuliwaomba???
Watoe kwanza au waseme wamefanyia nini yaan nilijua ufisadi umeisha kumbe badoPesa yenyewe sasa!
Ni wapumbavu kama wewe ndio wanaojidharau kwa kushabikia uchaguzi wa kishenzi na udikteta wa magu.Ukiangalia mwenendo wa mashabiki wa Lissu alieshindwa Urais na kukimbilia Ubelgiji utaona kwamba wanaamini hawawezi chochote bila wazungu.
Yani chadema wanaamini bila mzungu wanakufa kabisa. Wanalalamika kuonewa na CCM lakini Lissu aliwaambia andamaneni wakaishia kujificha uvunguni, badala yake sasa wanadeka kwa wazungu ili wasaidiwe. Yani hata Bob Wine wa Uganda ambae chama chake kina miaka 3 tu amewashinda! Sijaona wafuasi wa Bob Wine wakijibebisha kwa akina Amsterdam kama hawa jamaa wa hapa kwetu.
Hivi kwa tabia kama hii Tanzania itaanza lini kujitegemea? Kama vijana tunaowategemea wakisikia kukatiwa misaada wanalia kama watoto? Naamini Nyerere angedai uhuru kipindi cha vijana mrenda kama hawa wa chadema angepata tabu sana na ninaamini wange side na wakoloni kumhujumu Nyerere!
BAVICHA mnakwama wapi? Kwanini msiwe ngangari kwamba maisha bila mzungu yanawezekana? Hamuoni kwamba mtu akikunyima samaki ndio anakupa akili ya kutafuta ndoano yako na wewe na kuanza kuvua?
Hivi BAVICHA aina ya Salary slip hata familia mnaweza kulea kweli nyie?