masai dada
JF-Expert Member
- Dec 29, 2013
- 16,007
- 13,542
Jamani ninasura mbaya nikisuka ndio natoklezea!
Hebu pigeni donation ili nikapandikize nywele kama Roney
Kichwa kama mbegu ya parachichi
Pendeza sana.
aiseeee hata kama umeambiwa siri ya utajiri ipo hapo kwenye kusuka..nyoa kipara tu
Mmh una uwakika??
Mmh una uwakika??
Kama yule Mh Waziri wa naniliu.....anayetaka kugombea jimbo la Naniliu....
Wivu ama?
Sasa, ebu mie niache na ka stail kangu ako!!ahaaaa!!!!
hapana kwakweli naomba madam awe mkweli tu hili para linastahili kiwembe
mshauri anyoe kusuka haikupangw kuwa yeye
Hizo ni catalog tu, mamanzi wanamaindi,
hahaha mamanzi wa wapi
Mmh una uwakika??
Uwakika=uhakika.