Hivi kwa nini ukimtumia msichana sms kama ni mara ya kwanza alafu msg iingie kwenye simu yako roho inapasuka sana

Hujui namna yakuaza kutongoza au uliaza kutaja kazi yako namshahara.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yaani acha tu. Haya mambo yanaleta mshtuko sana. Mwingine alidondosha simu kwenye maji kabla hajasoma meseji na simu ikafa hapohapo. Hahahahaha
 
Hali hiyo ni kawaida kwa mtu anayetarajia na siyo kwa issue ya mahusiano tu ni kwa kila anayesubiri majibu kutokana na mtihani au application yoyote atakayo kuwa ameifanya na anatarajia kupokea majibu.

Kila apatapo kijumbe ashiria lazima moyo uende mbio, na anapokuta kijumbe hicho akina uhusiano na kitu alichotarajia hasira inamkaba.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…