The Phylosopher
JF-Expert Member
- Mar 11, 2015
- 1,503
- 2,046
kiushabiki inawezekana ukaamini kua magufuli anaweza kua mwenyekiti wa ccm taifa, rais wa tanzania na amiri jeshi mkuu jambo ambalo kiuhalisia sivyo amekua anaongea kwa mbwembwe nyingi na kupiga porojo nyingi ambazo kiuhalisia hazitekelezeki ingawa lengo langu si kuandika juu ya hayo lakini maadamu amekua akijinasibu kua ataleta mabadiliko ya kweli nabaki kujiuliza yafuatayo
1 huyu alie kamata meli kimakosa serikali ikashndwa kesi na sasa mabilion ya kodi ya watanzania yatatumika kulipa hiyo gharama
2 huyu aliesababisha tafrani kubwa kwa kusimamia sheria ambayo alikua na uhakika haitekelezeki alipopambana na madereva wa malori tafrani iliyopelekea mtoto wa mkulima kuepusha shari
3 huyu alie choma nyavu za wavuvi ambazo walizinunua kwa pesa na kuzikatia ieseni halali ya kuvulia samaki 4 huyu aliesimamia kwa bomoabomoa isiyozingatia utu wala ubinadam huku watu tukivunjiwa nyumba bila kupewa fidia.
ANAWEZAJE KULETA MABADILIKO KAMA SI MAAFA!
Hebu nileteeni hapa rekodi yake ya busara kama kiongozi mkuu.
1 huyu alie kamata meli kimakosa serikali ikashndwa kesi na sasa mabilion ya kodi ya watanzania yatatumika kulipa hiyo gharama
2 huyu aliesababisha tafrani kubwa kwa kusimamia sheria ambayo alikua na uhakika haitekelezeki alipopambana na madereva wa malori tafrani iliyopelekea mtoto wa mkulima kuepusha shari
3 huyu alie choma nyavu za wavuvi ambazo walizinunua kwa pesa na kuzikatia ieseni halali ya kuvulia samaki 4 huyu aliesimamia kwa bomoabomoa isiyozingatia utu wala ubinadam huku watu tukivunjiwa nyumba bila kupewa fidia.
ANAWEZAJE KULETA MABADILIKO KAMA SI MAAFA!
Hebu nileteeni hapa rekodi yake ya busara kama kiongozi mkuu.