Bila bila
JF-Expert Member
- Dec 20, 2016
- 21,489
- 37,771
Mimi ni mgeni hapa Dar nina siku 6 tu tangu nimefika. Leo nimemsikia mkuu wa mkoa wa Dar as salaam akitutangazia kwamba misa ya kuombea mwili wa marehemu Rais wetu John Magufuli itafanyika Kanisa la Mtakatifu Petro.
Kwa wenyeji naomba kujua mahali halisi lilipo Kanisa hilo.
Kwa wenyeji naomba kujua mahali halisi lilipo Kanisa hilo.