Hivi kurudia uchaguzi na kuandaa Katiba mpya, ni lipi lina maslahi mapana kwa Taifa letu?

Masuala yenye maslahi mapana ya kitaifa ni lazima tuyajadili kwa kina
Anasema hapendi kuongelea katiba kwakua hakuwahi kuinadi kipindi cha kampeni,,,,lakini najiuliza mbona kuna mambo mengi tu hakuwahi kuyaongelea wala kuyanadi kipindi cha kampeni na sasa hivi anayafanya?
 
Anasema hapendi kuongelea katiba kwakua hakuwahi kuinadi kipindi cha kampeni,,,,lakini najiuliza mbona kuna mambo mengi tu hakuwahi kuyaongelea wala kuyanadi kipindi cha kampeni na sasa hivi anayafanya?
Hilo swali zuri sana la kumuuliza
 
Maprof wa Tz ni sawa na watoyo wa vhekechea wana msifu ilibawa teue waache kula chaki... Humuonibsijuibanaitwa nanii alikuwa mzuri na mtetezi wa katina baada ya kupewa ulaji kajitoa fahamu kabisa sasa kila kitu yeye ni kusifia tuu.. Njaa ni shida sana. Ila kina siku mawe yataongea
njaa mbaya mkuu
 
Katiba ni kitanzi kwa wahuni wa Madaraka, wakiwemo Malaya wa kisiasa. Kurudia uchaguzi si kwa maslai ya wapiga kura wa nchi isiyojulikana bali ni kwa ajili ya kukifurahisha chama chakavu,Ili kupata safu itakiwayo kuusimika umugabe kwenye nchi isiyojulikana.
 
Wajumbe wako tayari kurudi bure kwa kujitolea ili katiba ipatikane kabla ya 2020.
 
Buku saba,mlala kwa shemeji kada mnufaika
Wewe umepangwa humu JF ku-clash hata yale mawazo mazuri yanayotolewa kwa maslahi mapana ya Taifa hili.......

Badala yake umekuwa mtu wa kumsifu kwa kila jambo analofanya/ analosema Magufuli!

Siwezi kupoteza muda kujibishana nawe
 
Suala la kurudia uchaguzi lipo kikatiba/kisheria na si matakwa ya mtu. Katiba mpya ulikuwa mchezo wa watu kupiga hela.
Unarudia uchaguzi kwa sababu za kijinga ndio unaona bora kuliko kutengeneza katiba mpya!!! Kweli ukiwa ccm huna tofauti na mbuzi kwenye kupambanua mambo
 
Mtu yoyote anayetaka Katiba mpya Tanzania yetu kwa sasa ni mvivu na hana kazi ya kufanya, vinginevyo angekuwa kazini, kamuulize Muhindi Dewji na familia yake kama hata wanajua chochote au hata kujali kuhusu hiyo mnayoiita Katiba mpya!
Wabunge wa upinzani wapo tayari kuhudhuria vikao vyote vyabunge a la katiba bila posho yoyote
 
Back
Top Bottom