sungwa.j
JF-Expert Member
- Jan 17, 2016
- 549
- 547
True Citizen ipo vizuri sana aiseeAha!!
Kuna vipindi vya habari Citizen viko vizuri mno!!
True Citizen ipo vizuri sana aiseeAha!!
Kuna vipindi vya habari Citizen viko vizuri mno!!
ITV inapewa promo kwenye hamna, hata huo usuperbrand naona wanajipa tuu, kdogo EATV wanajitahdi, ITV picha mbovu Hadi kero, vipind vyenyewe havieleweki....ITV pale hakuna kituNimegutushwa na Tangazo la ITV ya Tanzania kuwa super brand Afrika Mashariki.
Inamaani kituo hiki ni bora kuliko vyote hapa East Africa nzima.
Nakua mzito sana kuamini hili ninapotizama TV stations za Kenya, kama Citizen, KBC, NTV, KTN na K24...
Mbona naona kama ITV haifikii kabisa? In all aspects!!
Au ni nini kigezo cha kuwa super brand??
Nimegutushwa na Tangazo la ITV ya Tanzania kuwa super brand Afrika Mashariki.
Inamaani kituo hiki ni bora kuliko vyote hapa East Africa nzima.
Nakua mzito sana kuamini hili ninapotizama TV stations za Kenya, kama Citizen, KBC, NTV, KTN na K24...
Mbona naona kama ITV haifikii kabisa? In all aspects!!
Au ni nini kigezo cha kuwa super brand??
Jana kupitia K24 walikuwa na kipindi kinaitwa PORI LA RUSHWA, katika taarifa yao ya habari ambacho lilichukua almost half hour!Sijaona TV yoyote nchini kwetu inayoweza shindana na za Kenya! Wana vipindi bora vilivyojaa weredi.
Niliona muhutasari wake katika Citizen TV but sikupata muda wa kukiona choe kiliporushwaJana kupitia K24 walikuwa na kipindi kinaitwa PORI LA RUSHWA, katika taarifa yao ya habari ambacho lilichukua almost half hour!
Walikuwa wanamulika namna Mkuu wa chuo cha MASAI MARA UNIVERSITY alivyoiba hela za chuo kupitia dereva wake akimuamuru Mhasibu kutoa mamilioni ya shilling!
Kumbe Prof huyo na Dereva wake wanarekodiwa video na maongezi yao ya simu wakati wakitoa amri hiyo na wakipokea maburungutu ya pesa!
Nikajiuliza hivi kwetu kuna watu wanaweza kuexpose uchafu kama huu katika taasisi ya umma na kuirusha hewani namna hii?
Au TV zetu ni zile habari zao vinaanza na...hayo yemesemwa na....Rais wa JMT....Mkuu wa Mkoa wa....amesema......katika warsha hiyo.... na kadhalika?
Wenzetu wapo mbali sana
This is big..Jana kupitia K24 walikuwa na kipindi kinaitwa PORI LA RUSHWA, katika taarifa yao ya habari ambacho lilichukua almost half hour!
Walikuwa wanamulika namna Mkuu wa chuo cha MASAI MARA UNIVERSITY alivyoiba hela za chuo kupitia dereva wake akimuamuru Mhasibu kutoa mamilioni ya shilling!
Kumbe Prof huyo na Dereva wake wanarekodiwa video na maongezi yao ya simu wakati wakitoa amri hiyo na wakipokea maburungutu ya pesa!
Nikajiuliza hivi kwetu kuna watu wanaweza kuexpose uchafu kama huu katika taasisi ya umma na kuirusha hewani namna hii?
Au TV zetu ni zile habari zao vinaanza na...hayo yemesemwa na....Rais wa JMT....Mkuu wa Mkoa wa....amesema......katika warsha hiyo.... na kadhalika?
Wenzetu wapo mbali sana
Kabisa, jana nliona maafisa wakitinga Chuoni.Jana kupitia K24 walikuwa na kipindi kinaitwa PORI LA RUSHWA, katika taarifa yao ya habari ambacho lilichukua almost half hour!
Walikuwa wanamulika namna Mkuu wa chuo cha MASAI MARA UNIVERSITY alivyoiba hela za chuo kupitia dereva wake akimuamuru Mhasibu kutoa mamilioni ya shilling!
Kumbe Prof huyo na Dereva wake wanarekodiwa video na maongezi yao ya simu wakati wakitoa amri hiyo na wakipokea maburungutu ya pesa!
Nikajiuliza hivi kwetu kuna watu wanaweza kuexpose uchafu kama huu katika taasisi ya umma na kuirusha hewani namna hii?
Au TV zetu ni zile habari zao vinaanza na...hayo yemesemwa na....Rais wa JMT....Mkuu wa Mkoa wa....amesema......katika warsha hiyo.... na kadhalika?
Wenzetu wapo mbali sana