Joseph lebai
JF-Expert Member
- Jul 19, 2017
- 8,452
- 8,607
Chukulia kitu unachoona unakipenda sana na ndio starehe yako kama pombe. Mtu akikuibia pombe ni rahisi kumsamehe kuliko akuibie mke. Hapo linganisha starehe iliyo zaidi
Yap yap
Kwa binafsi mimi hapana , namba 2 kusinzia
Je ukibanwa na mavi?ukibanwa na mkojo (ule wa kawaida) alafu ukafanikiwa kukojoa, nahisi hiyo ni starehe sana
hiyo adhabu sasa siyo stareheJe ukibanwa na mavi?
Shindwa na ulegee kwa jina la Allah!Kitimoto na bia tena kitimoto rosti ukipige ukiwa na njaa da ni nomaa
na mwenye chura!Kwa kweli hakuna, hasa uifanye na mtu unayemkubali, raha sana
Kati ya wadada wote waliocomment kwenye huu uzi wewe pekee ndo hujawa mnafiki,wengine wote wamejifanya ati hawapendi dushe!!Kulala na kulalana
TUMBO LA KUHARISHAKwa binafsi mimi hapana , namba 2 kusinzia