mbeyakwetu
JF-Expert Member
- Dec 17, 2016
- 719
- 393
usingizi ndo stareha kubwa kwangu
Ha! Ha! Ha! Kumbe alikuwa ametoka usingiziniHabari za asubuhi mkuu
Nenda hospitali ukapimwe akili mkuu.1. Kunya msituni
2. Kupiga chafya
3. Kunusa chupi ya demu
4. Kuota moto
5. Kufanya mazoez uchi
halaf mimi napenda kupiga chabo zaid ya kusex, naweza enda nunua malaya nikija namuachia jamaa ale mzgo halaf mimi natoka nje natafta mwanya nichungulie.
Nenda hospitali ukapimwe akili mkuu.
Elton John aliifanya mpaka akaona aolewe TuKwa binafsi mimi hapana , namba 2 kusinzia
vzuriPs3 FIFA 17
Kupumua vizuri na kuwa na Afya njema ni starehe yangu
Pata balimi tafadhali hapo mkuu,nakuja kulipaKusikiliza wimbo wa CCM MBELE KWA MBELEEE huku umeshka kad ya chama juu kofia ya chama pembeni picha ya yule mkaza vyuma.
starehe yangu namba moja ni kufahuru mitihani! Yaani huwa najisikia raha! Natamani nigerudi hata leo darasani!
Duh mbona we hatari aiseehKujisaidia kichakani(haja kubwa)
Haichoshi hiyo Kama unapatakitu kipyaAcha kabisa habari ya papuchi ni shida hasa michepuko ni mitamu sn
Unajua kaka papuchi ukiizoea sana inachosha inabidi ubadili ladha kdg ndio utamu utauona