Hivi kuna ndege imeshatua Chato tangu baada ya mazishi?

Umeandika kama vile sijaelewa kabisa kama kuna hasara inapatikana, anyway tayaache hayo. Kweli hii ni mada pana sana na ndio maana hata ule mfano wako wa Fastjet haukuwa sahihi kwani ile ni airline ambayo ni LCC. Na pia inatoka nje ya nchi na ni rahisi kwao ku-target kaeneo/ route moja yenye faida bila kujali mengine.
Nisikuchoshe sana, msingi wa hoja yangu ni hivi, solution sio kutowekeza kwenye airline business na kuwanyima watu huduma hiyo kabisa, bali kuangalia maeneo ambayo ni vyanzo vya hasara ya biashara. Nilitaja machache, aina za ndege ziendane na operations husika/( mfano huwezi kupata hasara kwa kwenda Iringa kwa kutumia Bombardier Q 300) au kuangali suala la kuwa na Dreamliner kama haina route, gharama na maintenance kwa kuwekeza kuwa na wataalamu wa ndani na effective management kwa ujumla. Hivi vyote viwe kwenye mpango wa biashara.
Lengo iwe pia kutumia Airline kuwezesha sector nyingine za kiuchumi, i.e tourism. Fastjet hawawezi kuwa na malengo kama hayo.
Mwisho wa siku kila anayefanya biashara hii anajua ni biashara yenye faida ndogo ( small marginal profit).
Hatahivyo, mbona wenzetu wanawekeza kwenye hicho kilimo na wana ndege?!?
Mimi nielewesheni hapa uhusiano wa ndege na tourism inakuwajekuwaje? Maana kukikosekana faida kichaka kinakuwa tourism why!? Connection ipoje hapo?
 
"Hivi hapa wapi vile? Angekuwepo Siti karibu hapa angenitajia!" ananong'onezwa na kukumbushwa panaitwa Chato - anaitikia kwa nguvu "CHATOOO!"

Eti jamani hivi kuna ndege ambayo ishatua Uwanja wa Kimataifa wa Chato tangu baada ya msiba? Na kama ipo ilipeleka huduma gani?

Inasemakana pia hata wale twiga waliopelekwa kule Hifadhi ya Burigi na baadhi ya wanyama kama hao wengi wao wamekufa kutokana na kutoendena na ikolojia!
Mkuu unauliza ishu kubwa namna hiyo?
Uliza Mara ya mwisho tv, redio, magazeti na social media tangu turudi kutoka Chato wametaja jina hili Mara ngapi? Hata kituo pendwa tbccm nao wamesahau hata Ina spelling ngapi
 
"Hivi hapa wapi vile? Angekuwepo Siti karibu hapa angenitajia!" ananong'onezwa na kukumbushwa panaitwa Chato - anaitikia kwa nguvu "CHATOOO!"

Eti jamani hivi kuna ndege ambayo ishatua Uwanja wa Kimataifa wa Chato tangu baada ya msiba? Na kama ipo ilipeleka huduma gani?

Inasemakana pia hata wale twiga waliopelekwa kule Hifadhi ya Burigi na baadhi ya wanyama kama hao wengi wao wamekufa kutokana na kutoendena na ikolojia!
Abiria wa Geita
 
Hivi chato kupelekewa maendeleo kunawasha nini eti?au chato sio Tanzania au chato hapastahili kupata maendeleo mbona mnafitina na ushabiki mandazi eti
Hilo liuwanja Lina faida gani kwa nchi na watu wa Chato? Acha mawazo mgando kwani ungekuwa Mwanza Nani angepinga?
 
"Hivi hapa wapi vile? Angekuwepo Siti karibu hapa angenitajia!" ananong'onezwa na kukumbushwa panaitwa Chato - anaitikia kwa nguvu "CHATOOO!"

Eti jamani hivi kuna ndege ambayo ishatua Uwanja wa Kimataifa wa Chato tangu baada ya msiba? Na kama ipo ilipeleka huduma gani?

Inasemakana pia hata wale twiga waliopelekwa kule Hifadhi ya Burigi na baadhi ya wanyama kama hao wengi wao wamekufa kutokana na kutoendena na ikolojia!
Tulitahadharisha mapema project ya Chato kuwa ni justification of corruption and embezzlement.

It was a matter of time, a time has come truth of out.

Parliament was muzzled, no one was able even to open his or her lips to question about Chato.

We lost lot money in this hooliganic project.

Samia and Majaliwa should step down for lying us.
 
Mimi nielewesheni hapa uhusiano wa ndege na tourism inakuwajekuwaje?maana kukikosekana faida kichaka kinakuwa tourism why!?connection ipoje hapo?
Mkuu ndege zinazofanya safari za kimataifa, local airlines na ndege ndogo (general aviation) kwa pamoja vinatengeneza mtandao unaowezesha watalii kutoka sehemu moja kwenda nyingine. Hiyo ni faida kwa nchi na watu binafsi waliowekeza kwenye sekta hiyo.
 
Mkuu ndege zinazofanya safari za kimataifa, local airlines na ndege ndogo (general aviation) kwa pamoja vinatengeneza mtandao unaowezesha watalii kutoka sehemu moja kwenda nyingine. Hiyo ni faida kwa nchi na watu binafsi waliowekeza kwenye sekta hiyo.
Bado sijaelewa, labda kichwa changu kigumu kuelewa, mtalii ataacha kuja Tanzania kwasababu Tanzania haina ndege!? Hapa ndio sijaelewa ndege na utalii vinakutana wapi!? Yaani Chato kuwa na uwanja mkubwa unaoweza kutua dreamliner au dreamliner kwenda Chato kunaisaidia vipi sekta ya utalii!?
 
Bado sijaelewa,labda kichwa changu kigumu kuelewa,mtalii ataacha kuja tanzania kwasababu tanzania haina ndege!?hapa ndio sijaelewa ndege na utalii vinakutana wapi!?yani chato kuwa na uwanja mkubwa unaoweza kutua dreamliner au dreamliner kwenda chato kunaisaidia vipi sekta ya utalii!?
Mkuu watalii watakao nje wanafanya booking zao kupitia makampuni makubwa ya Utalii mfano TripAdvisor. Hizi kampuni zipo kwenye mitandao ya kimataifa ya utalii inayomwezesha mtalii kupata package yenye vitu kama Hotel, usafiri wa ndege na ground transport. Sasa kama nyie hamna ndege wenzenu Kenya wanazo unadhani booking nyingi zitaenda wapi? Mbona hii haihitaji kichwa laini sana kuelewa. Utamtoaje Mtalii toka Zanzibar kwenda Kia mpaka Seronera? Basi la Esther?
Hayo ya Dreamliner na Chato sijayaandika mimi.
 
Iringa utawaonea aisee kuna mbuga kubwa sana ya Ruaha Ina wanyama wote ambao wapo kwenye group la big five. Ukiacha hiyo kuna mashamba ya chai makubwa ya Brookings na Msitu mkubwa wa kuzalisha mbao na karatasi ambao nadhani unasupply mbao kwa asilimia kubwa Tanzania. Ukiacha hayo pia kuna mashamba ya tumbaku makubwa sana hii ni uchumi wa kutosha sana kuweka airport yenye hadhi pia ni karibu na Dodoma mji mkuu.
Kama ningekuwa CEO wa ATCL kwa kwa kweli nisingekwenda viwanja vifuatavyo;
1. Chato
2. Mpanda/ Katavi
3. Songea
4. Iringa
5. Shinyanga

Ukisikia CAG anasema kwa mahesabu ya 2019/21, ATCL imepata loss ya Tsh 60 Bilion, ujue sababu ni kwenda kwenye viwanja vya peripheral.

FAST JET walioperate kwa faida kwa kwenda Mwanza, Kilimanjaro na Mbeya tu.

Hakuna haja ya kwenda kwenye mikoa kwa ajili ya kuwaridhisha wanasiasa. Huu siyo mwenge wa uhuru, bali ni biashara ambayo lazima izalishe faida
 
"Hivi hapa wapi vile? Angekuwepo Siti karibu hapa angenitajia!" ananong'onezwa na kukumbushwa panaitwa Chato - anaitikia kwa nguvu "CHATOOO!"

Eti jamani hivi kuna ndege ambayo ishatua Uwanja wa Kimataifa wa Chato tangu baada ya msiba? Na kama ipo ilipeleka huduma gani?

Inasemakana pia hata wale twiga waliopelekwa kule Hifadhi ya Burigi na baadhi ya wanyama kama hao wengi wao wamekufa kutokana na kutoendena na ikolojia!

Mlipofikia kwa sasa hata msipotimiza majukumu yenu ya ndoa mtambebesha lawama JPM
 
Back
Top Bottom