kimsboy
JF-Expert Member
- Oct 17, 2016
- 9,000
- 17,909
Kama hupendi uswahili usinunue kiwanja,mbagala,chamazi mmbande na baadhi ya sehemu za Temeke.
Kama hupendi mambo ya uchawi na unaogopa kulogwa logwa wanga,kutupiana majini wivu nk usinunue huko maana huko yamezidi uchawi upo kila mahali ila huko pamezidi huko ujiandae
Kama hupendi fujo za usafiri, misongamano,makelele, fujo,vibaka na uhuni basi usinunue huko
Huko pamejaa watu wa hadhi ya chini, watu wasioijua shule, waswahili haswa, washirikina, wapenda makelele foleni za kugombania daladala
Huko hata ukiwa na usafiri jiandae kuchukiwa na kulogwa kwa kila hali
Kuna watu wanapitia kila siku drama mpya kwasababu ya kupenda vitonga vya kununua viwanja cha bei chee
Sehemu zenyewe nyumba zinajengwa hovyo hovyo bila mpangilio bora mtu ukikosa kabisa ukanunue kibaha kuliko huko
Kama hupendi mambo ya uchawi na unaogopa kulogwa logwa wanga,kutupiana majini wivu nk usinunue huko maana huko yamezidi uchawi upo kila mahali ila huko pamezidi huko ujiandae
Kama hupendi fujo za usafiri, misongamano,makelele, fujo,vibaka na uhuni basi usinunue huko
Huko pamejaa watu wa hadhi ya chini, watu wasioijua shule, waswahili haswa, washirikina, wapenda makelele foleni za kugombania daladala
Huko hata ukiwa na usafiri jiandae kuchukiwa na kulogwa kwa kila hali
Kuna watu wanapitia kila siku drama mpya kwasababu ya kupenda vitonga vya kununua viwanja cha bei chee
Sehemu zenyewe nyumba zinajengwa hovyo hovyo bila mpangilio bora mtu ukikosa kabisa ukanunue kibaha kuliko huko