Hivi kuna aina ngapi za vyeti vya ndoa Serikalini?

Trainee

JF-Expert Member
Sep 22, 2018
2,213
2,812
Nashindwa hata namna ya kuliweka swali langu lakini nadhani maelezo yafuatayo yatafafanua swali ninalouliza

Watumishi wakitaka kuingiza taarifa za wenza kwenye maswala ya kikazi wanaambiwa walete vyeti vya ndoa.

Kwa wale waislamu wakipeleka cheti cha ndoa kilichoidhinishwa na BAKWATA wanaambiwa cheti hiko hakitambuliki serikalini.

Kuna vyeti vya ndoa vya serikali wamekabidhiwa watu maalumu (wananunua) kwajili ya kusajili ndoa kwa wale wenye cheti cha BAKWATA

Cheti hiko alikwenda jamaa yangu ambaye anajiita hana dini akakihitaji kwa yule mtu akaambiwa mimi sikuandikii maana hapa huwa naandikia waislamu wenye vyeti tu

Jamaa akalazimisha na mzee kwa tamaa ya sh25000 na kuona cheti chenyewe hakimfungi yeye maana hakuna saini wala jina la msajili, basi akamsajilia

Kufika huko kinapohitajika wakambwambia aende kwanza kwa Mkuu wa Wilaya kikahakikiwe

Kwa Mkuu wa Wilaya kufika anaambiwa atengeneze kingine "CHA KISERIKALI" kama yeye hana dini. Jamaa akasema ngoja nikajipange tena

Sasa swali langu hapo nadhani limeeleweka kwa kiasi chake
 
Vyeti vyote Ni vya serikali.Kila dini Ina watu maalum wanaopokea vyeti serikali na kusajili wanandoa. Huyo aliyempiga mwenzake elfu 25 Nina mashaka naye
Jamaa alieleweshwa ila akakomalia mwenyewe
 
Pia pale hakuna sehemu inayoonesha kuwa aliyekusajilia ni fulani sasa shaka iko wapi... au kwajili yeye anabaki na kopi?
 
Nashindwa hata namna ya kuliweka swali langu lakini nadhani maelezo yafuatayo yatafafanua swali ninalouliza

Watumishi wakitaka kuingiza taarifa za wenza kwenye maswala ya kikazi wanaambiwa walete vyeti vya ndoa.

Kwa wale waislamu wakipeleka cheti cha ndoa kilichoidhinishwa na BAKWATA wanaambiwa cheti hiko hakitambuliki serikalini.

Kuna vyeti vya ndoa vya serikali wamekabidhiwa watu maalumu (wananunua) kwajili ya kusajili ndoa kwa wale wenye cheti cha BAKWATA

Cheti hiko alikwenda jamaa yangu ambaye anajiita hana dini akakihitaji kwa yule mtu akaambiwa mimi sikuandikii maana hapa huwa naandikia waislamu wenye vyeti tu

Jamaa akalazimisha na mzee kwa tamaa ya sh25000 na kuona cheti chenyewe hakimfungi yeye maana hakuna saini wala jina la msajili, basi akamsajilia

Kufika huko kinapohitajika wakambwambia aende kwanza kwa Mkuu wa Wilaya kikahakikiwe

Kwa Mkuu wa Wilaya kufika anaambiwa atengeneze kingine "CHA KISERIKALI" kama yeye hana dini. Jamaa akasema ngoja nikajipange tena

Sasa swali langu hapo nadhani limeeleweka kwa kiasi chake
Tanzania tuna ndoa zinazotambulika ni aina tatu :-
1. Ndoa ya Dini ambayo itafungishwa na
kusainiwa na kiongozi wa dini
2. Ndoa ya serikali inafungishwa na mkuu
wa wilaya
3. Ndoa ya kimila hiyo sina uhakika kama
kuna cheti wanapewa wanandoa

Namba 1 na 2 najua Cheti kinatambulika popote pale kinapohitajika.

Huyo jamaa yako alitaka cheti bila ndoa kwamba alikuwa anadanganya au sijakuekuelewa?
 
Nashindwa hata namna ya kuliweka swali langu lakini nadhani maelezo yafuatayo yatafafanua swali ninalouliza

Watumishi wakitaka kuingiza taarifa za wenza kwenye maswala ya kikazi wanaambiwa walete vyeti vya ndoa.

Kwa wale waislamu wakipeleka cheti cha ndoa kilichoidhinishwa na BAKWATA wanaambiwa cheti hiko hakitambuliki serikalini.

Kuna vyeti vya ndoa vya serikali wamekabidhiwa watu maalumu (wananunua) kwajili ya kusajili ndoa kwa wale wenye cheti cha BAKWATA

Cheti hiko alikwenda jamaa yangu ambaye anajiita hana dini akakihitaji kwa yule mtu akaambiwa mimi sikuandikii maana hapa huwa naandikia waislamu wenye vyeti tu

Jamaa akalazimisha na mzee kwa tamaa ya sh25000 na kuona cheti chenyewe hakimfungi yeye maana hakuna saini wala jina la msajili, basi akamsajilia

Kufika huko kinapohitajika wakambwambia aende kwanza kwa Mkuu wa Wilaya kikahakikiwe

Kwa Mkuu wa Wilaya kufika anaambiwa atengeneze kingine "CHA KISERIKALI" kama yeye hana dini. Jamaa akasema ngoja nikajipange tena

Sasa swali langu hapo nadhani limeeleweka kwa kiasi chake

Stori yako ni ya kupika. Au possible Wewe ndio Muhanga. Ila kwa kukusaidia ndoa zinazotambulika ni mbili .

Ya Kidini na ndoa ambayo haifungamani na Dini yoyote ambayo itafanyika wilayani.

Pia, sio kila mtu anaefunga ndoa ambayo haifungamani na Dini Maana yake hana dini. Shida ya wa TZD Hamna exposure na mmejaza ugali kwenye akili zenu ndio maana hivi vitu ni vigeni kwenu .

Wengine hutumia ndoa hiyo baada ya kukutana na Mwenza ambae wanatofauti ya Kiimani, hufanya hivo ili kila mtu abaki na imani yake. Kwa Sababu imani ni kama utamaduni, ni ukichaa kubadili imani ya mtu . Mfano Kasim Majaaliwa ana ndoa ya serikali na yupo happy na Mke wake, Wenye akili huishi kwa kuheshimiana imani zao.

Pia , wengine hufanya hizo ndoa ili kuachana na Magharama ya harusi za kileo zilizojaa show off na hazina msingi wowote zaid ya kuoneshana na mbwembwe.

Wengine hutumia hizo ndoa kwa kuwa wazazi wa Pande moja hawajaridhia mahusiano ya vijana wao.

Huyo aliyeliwa hizo fedha anaelimu gani ? Au ni kiazi kama Lissu ?
 
1.Ndoa za ma Madhehebu zimefungishwa na viongozi wa madhehebu wenye leseni toka kwa Kabidhi Wasii mkuu na kutoa cheti cha ndoa cha Serikali.
2.Ndoa ya Serikali inafungishwa na DC, DAS au Naibu Msajili mwenye at least Dip ya Sheria na kisha atatoa cheti cha ndoa cha Serkali.
3.Ndoa ya Kimila.
Bibi na Bwana walioishi muda mrefu, wanaamua kuhalalisha kuishi katika ndoa inayotambulika.
Wanakwenda kwa Afisa Tarafa anawafungisha ndoa na kisha wanakwenda Bomani kwa DAS kupewa vyeti vya ndoa.
Safarini Gonja Maore.
Alamsiki.


Sent from my LG-F800S using JamiiForums mobile app
 
Stori yako ni ya kupika. Au possible Wewe ndio Muhanga. Ila kwa kukusaidia ndoa zinazotambulika ni mbili .

Ya Kidini na ndoa ambayo haifungamani na Dini yoyote ambayo itafanyika wilayani.

Pia, sio kila mtu anaefunga ndoa ambayo haifungamani na Dini Maana yake hana dini. Shida ya wa TZD Hamna exposure na mmejaza ugali kwenye akili zenu ndio maana hivi vitu ni vigeni kwenu .

Wengine hutumia ndoa hiyo baada ya kukutana na Mwenza ambae wanatofauti ya Kiimani, hufanya hivo ili kila mtu abaki na imani yake. Kwa Sababu imani ni kama utamaduni, ni ukichaa kubadili imani ya mtu . Mfano Kasim Majaaliwa ana ndoa ya serikali na yupo happy na Mke wake, Wenye akili huishi kwa kuheshimiana imani zao.

Pia , wengine hufanya hizo ndoa ili kuachana na Magharama ya harusi za kileo zilizojaa show off na hazina msingi wowote zaid ya kuoneshana na mbwembwe.

Wengine hutumia hizo ndoa kwa kuwa wazazi wa Pande moja hawajaridhia mahusiano ya vijana wao.

Huyo aliyeliwa hizo fedha anaelimu gani ? Au ni kiazi kama Lissu ?
Wewe maku.su Lissu kaingiaje hapa?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom