Mndwyika.wetu
JF-Expert Member
- Jul 15, 2012
- 652
- 829
Wanachi kuiogopa serikali, ujue hapo kuna tyranny, na uongonzi wa kidictator.
Serikali kuwaogopa wanachi, hapa kuna democracy, mamlaka yanatoka kwa wananchi. Serikali inawaheshimu wananchi wote kwa sababu inajua wanaweza kuitoa madarakani kwa kutumia sanduku la kura.
Serikali kuwaogopa wanachi, hapa kuna democracy, mamlaka yanatoka kwa wananchi. Serikali inawaheshimu wananchi wote kwa sababu inajua wanaweza kuitoa madarakani kwa kutumia sanduku la kura.