Hivi kipi ni kipimo sahihi cha mafanikio?

Hivi kipi ni kipimo sahihi cha mafanikio?

Pesa kwa lugha nyepesi ni nyenzo au kiunganishi kati ya ndoto zako na maisha halisi. Huwezi kujiita uliyefanikiwa kwa kuwa na pesa nyingi benki
Kuwa na Pesa nyingi haimaanishi upo nazo mkonon au benk kaa unavyo fkl
Ushajiuliza kwann hakuna tajili aliye ajiriwa

TAKE UP RESPONSE ABILITY MKUU
 
Tumia kanuni ambayo mimi imenitoa usimuige mtu kwenye kutumia muige mtu kwenye kutafuta yaani uchapaji kazi wake,kwa sababu kuipata milioni siyo kazi, ni kuitunza.na kama umepata opportunity ya kusoma soma.mafanikio hayaji kwa kupoteza muda mkuu fanya kazi sana ujenge maisha yako.
 
Hivi kipi ni kipimo sahihi cha mafanikio??!!

Kati ya MTU mwenye Pesa nyingi sana au MTU mwenye Elimu ya juu sana??!!

Je,ulishawai kukutana au kufundixhwa na walimu matajili wangapi??!!

Au unawajua matajili wangapi walio ajiliwa??!!

Kwamaoni yangu kipimo sahihi cha mafanikio ni Pesa na sio elimu
Nipe mtazamo wako........
Kipimo cha mafanikio ni kujua kusudi LA kuumbwa kwako na kulitejeleza kwa ufanisi. Sisi binadamu tumeumbwa na Mungu yy ndiye aliekisudia tuwepo, na kwa hiyo ni budi kutoka kwake tujue kwa nn alituumba kisha tulitimize kusudi hilo. Soma neno utaelewa na kugundua kusudi lako. Mungu akubariki
 
Kipimo kikubwa cha mafanikio ni kuishi vyema duniani na mwisho kuurithi ufalme wa Mbinguni
 
Binafsi kipimo sahihi ni kutimiza malengo na viupambele vyangu nilivyojiwekea. Nilisema lazima niwe na elimu walau ya degree tiyari ninayo na pia nilipanga kusaidia ndugu zangu nikipata ajira walau nao wasome ili kupunguza utegemezi.
 
Binafsi kipimo sahihi ni kutimiza malengo na viupambele vyangu nilivyojiwekea. Nilisema lazima niwe na elimu walau ya degree tiyari ninayo na pia nilipanga kusaidia ndugu zangu nikipata ajira walau nao wasome ili kupunguza utegemezi.
Safi sana mkuu kwa hilo wazo lako la kusaidia watu wengine unapopata na mafanikio,

Moja ya faida ya kusaidia watu na hasa waliokaribu nawe ni kumfurahisha Mungu ili azidi kukubariki,na ni kama unainvest kitu kwa hao nduguzo,
So, hata siku ukitetereka wao ndio watakaokuinua,sio mtu anataka yeye tu ndio awe juu ya familia yake kwa kujilimbikizia kila kitu kwake tu,mtu kama huyu akiporomoka inakua hakuna wa kumnyanyua juu tena coz wote wanaomzunguka aliwabania na hawana kitu.
 
Kipimo cha mafanikio ni kujua kusudi LA kuumbwa kwako na kulitejeleza kwa ufanisi. Sisi binadamu tumeumbwa na Mungu yy ndiye aliekisudia tuwepo, na kwa hiyo ni budi kutoka kwake tujue kwa nn alituumba kisha tulitimize kusudi hilo. Soma neno utaelewa na kugundua kusudi lako. Mungu akubariki
Pole aiseee yan we we upo nje ya maada kama sio nje ya kitabu au syllabus
Let's talk about """elimu ya juu sana & Pesa nyingi sana"""
Swala la kumtafuta MUNGU ni CONSTANT
KATIKA maisha ya kila siku
 
Safi sana mkuu kwa hilo wazo lako la kusaidia watu wengine unapopata na mafanikio,

Moja ya faida ya kusaidia watu na hasa waliokaribu nawe ni kumfurahisha Mungu ili azidi kukubariki,na ni kama unainvest kitu kwa hao nduguzo,
So, hata siku ukitetereka wao ndio watakaokuinua,sio mtu anataka yeye tu ndio awe juu ya familia yake kwa kujilimbikizia kila kitu kwake tu,mtu kama huyu akiporomoka inakua hakuna wa kumnyanyua juu tena coz wote wanaomzunguka aliwabania na hawana kitu.
Kweli hapa n kupatwa kwa Uzi
Kumsaidia MTU sio kipimo cha mafanikio

Unaweza kuwa na mafanikio na usimsaidie mtu ko swala la kusaidiana lipo tu katka jamii na ni continuously
 
According to Philosophy. Mafanikio ni yale unayoweka mwenyewe. Unaweza kumuona Messi au Ronaldo wamefanikiwa lakini wao wenyewe wanaona bado hawajafikia malengo. Kwahyo ndio mtazamo wangu.

Kuhusu pesa na elimu. Elimu ni kitu kipana. Unaweza ukawa Na Phd ya Lugha lakini ukiumwa unaweza tibiwa na nesi mwenye diploma. Kwahyo ni ina depend na mtu amajionaje Yeye

Mtazamo wangu

Instagram : @fundirabbit_design_lab
 
Tumia kanuni ambayo mimi imenitoa usimuige mtu kwenye kutumia muige mtu kwenye kutafuta yaani uchapaji kazi wake,kwa sababu kuipata milioni siyo kazi, ni kuitunza.na kama umepata opportunity ya kusoma soma.mafanikio hayaji kwa kupoteza muda mkuu fanya kazi sana ujenge maisha yako.
Ko we unahisi kuna MTU anapoteza muda APA sio
 
According to Philosophy. Mafanikio ni yale unayoweka mwenyewe. Unaweza kumuona Messi au Ronaldo wamefanikiwa lakini wao wenyewe wanaona bado hawajafikia malengo. Kwahyo ndio mtazamo wangu.

Kuhusu pesa na elimu. Elimu ni kitu kipana. Unaweza ukawa Na Phd ya Lugha lakini ukiumwa unaweza tibiwa na nesi mwenye diploma. Kwahyo ni ina depend na mtu amajionaje Yeye

Mtazamo wangu

Instagram : @fundirabbit_design_lab
Much respect mkuu
Good good good
 
Back
Top Bottom