Moisemusajiografii
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 33,890
- 54,132
Nani kasema msuli na kizibao hauwezi kuonekana smart?Mazoea tu ndiyo yanakulemaza mkuu.Piga msuli wako,shati safi,kizibao matata na bakora yenye jambia!Maridaaaadiii!Mkuu inabidi uwe flexible and still look smart...