mzeewakungoa
JF-Expert Member
- Nov 26, 2016
- 4,969
- 13,915
- Thread starter
- #41
Unazidi kunichanganya mkuuunapotezewa nyota
Unazidi kunichanganya mkuuunapotezewa nyota
Una roho ngumu mkuuuu!!!Huyu jamaa amnazo hunachanganyikiwa nn, c udharau na kupotezea tu. Mm hapa home na shemeji yangu mrembo kinoma halfcast Wa kizungu hata sidiria havai mbona nakemea pepo mbaya tu
Umechunguza yote hayo wee mijusi? Watu mna laana.Huyu jamaa amnazo hunachanganyikiwa nn, c udharau na kupotezea tu. Mm hapa home na shemeji yangu mrembo kinoma halfcast Wa kizungu hata sidiria havai mbona nakemea pepo mbaya tu
anazinguaaNyie ndio mnatuaibisha wanaume sasa hili nalo ushauliwe
Sijaomba matusj.... Kama huna ushauri unaweza kupita. Sasa wewe ukinitukana na mimi nikakutukana halafu inakuwaje?Anza na mamako mdogo ili kuondoa ukakasi na soni halafu hamia kwa Dada zako. Ukishawarusha Dada zako kichura halali kutembea na shemeji yako. Laana mkubwa wewe mwana ibilisi mbwa
Hewallah kadhiSwali ulilouliza linaruhusiwa na dini yenu? Jinga kweli wewe kama unaona hairuhusiwi kwa nini unaomba ushauri?
Wajinga pia ni watuSwali ulilouliza linaruhusiwa na dini yenu? Jinga kweli wewe kama unaona hairuhusiwi kwa nini unaomba ushauri?
Nawe mnyatie ili muwe mnanyatianaShem wangu ananipenda mpak nimejua. Ni dada wa mke wangu ila kwa maumbile yake anaokana mdogo kuliko mke wangu. Mimi ni me chang anyhows sijui nifanyeje! Namtamani lakini si vizuri kumchanganya mke wangu na dadake. Ushauri wenu muhimu wana JF.
Ha haUtakua umejisaidia mwenyewe mkuu
,maana kwa ninavyokujua naona utazidi kuchanganyikiwa huko mbeleni!
Sasa acha ujinga rudi kwenye dini yenu usilete maswali ambayo hayaruhusiwi na dini yenu.Wajinga pia ni watu
Kwa hio kula ma barmaid ndo ujanjaWe zoba kweli, achana na shemeji zako, kwani ma bar meid wameisha?
Hewallah kadhi mkuuSasa acha ujinga rudi kwenye dini yenu usilete maswali ambayo hayaruhusiwi na dini yenu.
Asante tunza familia karibu kwenye dini yetu.Hewallah kadhi mkuu
Lakini nikizini na kahaba pia nitakuwa sina akili