Hivi kale ka kisiwa ambako Nyerere aliwatia watu kizuizini kuna Rais aliendelea kukatumia? Au bado kanatumika?

Kuna ka kisiwa mita kadhaa kutoka kigamboni, kabla Jumbe hajapelekwa ANSUYA NAVAS kisota alianzia huko inasemekana,

Nauliza kaliendelea kutumika kuficha waarifu, wahujumun uchumi na watuhumiwa wa uhaini kama wakati wa Nyerere?

Je, watu wanaruhusiwa kufika pale? Au bado Kako chini ya jeshi?
Mwenye majibu please
View attachment 901484

Britannica
Wewe ulizipata wapi hizi habari...Na una uhakika kwamba aliyekuambia alisema ukweli???!!
 
Kama wakumbuka zile mvua za elnino zilizotokezea Tanzania miaka 10 ilopita, ilifanya hicho kisiwa kinyanyuke na sasa kipo juu kidogo kutoka usawa wa bahari.

:):):)

Duh...tehtehtehtehteh...watu mna 'roho' ngumu...tehtehtehteh...Ila ushauri wangu kwa wengi ambao hawafahamu ni kuwa wote wale wanaoishi karibu na bahari wako katika mazingira hatarishi...Ndugu yangu unakumbuka kile kilichotokea kule Indonesia nadhani mwanzoni mwa miaka ya 2000 kutokana na tsunami?/ Bahari au mawimbi yake yalikuja kwa kasi zaidi ya futi 10 juu na kuua maelfu kwa maelfu ya watu...ikitokea hapa Dar walioko Kigamboni, masaki, msasani, Kawe, mikocheni, oysterbay, kunduchi, Bunju, city centre, kariakoo nk wataipatapata..tehtehtehtehtehteh
 
Duh...tehtehtehtehteh...watu mna 'roho' ngumu...tehtehtehteh...Ila ushauri wangu kwa wengi ambao hawafahamu ni kuwa wote wale wanaoishi karibu na bahari wako katika mazingira hatarishi...Ndugu yangu unakumbuka kile kilichotokea kule Indonesia nadhani mwanzoni mwa miaka ya 2000 kutokana na tsunami?/ Bahari au mawimbi yake yalikuja kwa kasi zaidi ya futi 10 juu na kuua maelfu kwa maelfu ya watu...ikitokea hapa Dar walioko Kigamboni, masaki, msasani, Kawe, mikocheni, oysterbay, kunduchi, Bunju, city centre, kariakoo nk wataipatapata..tehtehtehtehtehteh
Ile ulikuwa ni mission ya siri ya nyuklia blast haikuwa mambo ya asili ya mabadiliko ya tabia ya nchi au tetemeko ulikuwa ni majaribio ya mabomu

Kumbuka muororoa atol mika ya tisini
 
Ile ulikuwa ni mission ya siri ya nyuklia blast haikuwa mambo ya asili ya mabadiliko ya tabia ya nchi au tetemeko ulikuwa ni majaribio ya mabomu

Kumbuka muororoa atol mika ya tisini

Sawa ...na ikitokea hapa kwetu kwa maana ya mtu au nchi moja kama KIM kufanya mission ya siri unadhani hali itakuwaje kwa wale wa Msasani, Kawe, Oysterbay, city centre na kadhalika???!!! tehtehtehtehtehtehteh
 
Back
Top Bottom