Manofu
JF-Expert Member
- Nov 3, 2018
- 1,317
- 2,019
Timu inacheza utafikili awajala wiki nzima, nafasi wanatengeneza ila wanafanya kubutua tu, michezaji inabaki yenyewe nakipa inapaisha mpira. Sasa najiuliza kama mpo serious kubaki ligi kuu mnashindwa wapi kucheza mpira kama ule mnaochezaga na simba? Kocha anafanya sub anatoa wachezaji wanaocheza vizuri anaacha wachezaji mizoga uwanjani. Au ndo tuseme kiwanda kimeichoka timu kimetoa maelekezo kwa wachezaji wajilegeze uwanjani ili wafungwe kilaisi? Mm kwakweli sijawaelewa ata kidogo,kama atutaki kubakia ligi kuu bora tujitoe kabisa tujue moja.