MFUKO WA RAMBO
JF-Expert Member
- May 30, 2017
- 201
- 114
Raia wa Ubelgiji mpaka leo amepoteza mwelekeo yaani dish limecheza hajui aanzie wapiMtu poa kama ukimuunga mkono kwa lolote atakalofanya.
Liwe baya au zuri.
Ukienda kinyume nae aidha kwa kumkosoa kumpa ushauri tofauti na atarajiavyo au kuhoji jiandae kuumia.
Muulize Lissu atakwambia.