Linguistic
JF-Expert Member
- Mar 16, 2021
- 3,671
- 8,237
Tuna viongozi wa mihimili wasio na kumbukumbu. Unaweza Nikawa Sahihi Kwamba Ndugai ana Kumbukumbu Kwamba Katoka Wapi na Hayati
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umeanza kuelewa ee? bora tumludie Mungu tu, wanasiasa sio wa kuwaamini!Siasa ni ubatili mtupu!
Wakuu, dish la johnthebaptist halijacheza tena, leo ni siku ya 4 yuko vizuri!!Siasa ni ubatili mtupu!
Tuna viongozi wa mihimili wasio na kumbukumbu. Unaweza Nikawa Sahihi Kwamba Ndugai ana Kumbukumbu Kwamba Katoka Wapi na HayatiView attachment 1753971
Naam Joni, of course....na kujilisha upepo!Siasa ni ubatili mtupu!
You're emotionally drained to the point of nihilism,Siasa ni ubatili mtupu!
tumeni sadaka zenu kwangu mm ndio nabii wenuUmeanza kuelewa ee? bora tumludie Mungu tu, wanasiasa sio wa kuwaamini!
Ata Chacha Wangwe analifahamu ilo.Mtu poa kama ukimuunga mkono kwa lolote atakalofanya.
Liwe baya au zuri.
Ukienda kinyume nae aidha kwa kumkosoa kumpa ushauri tofauti na atarajiavyo au kuhoji jiandae kuumia.
Muulize Lissu atakwambia.
Wakuu, dish la johnthebaptist halijacheza tena, leo ni siku ya 4 yuko vizuri!!
Akikujibu hii unitag.Wale wabunge 19 Ndungai aiwaapisha kwa msingi gani na ni nani alimtoa Nusrati Hange gerezani?
🤣🤣🤣🤣Wakuu, dish la johnthebaptist halijacheza tena, leo ni siku ya 4 yuko vizuri!!
siku akinyimwa hela ndio huwa hiviWakuu, dish la johnthebaptist halijacheza tena, leo ni siku ya 4 yuko vizuri!!
Kuna ajabu gani hapo....
Tuna viongozi wa mihimili wasio na kumbukumbu. Unaweza Nikawa Sahihi Kwamba Ndugai ana Kumbukumbu Kwamba Katoka Wapi na HayatiView attachment 1753971