Hivi jeshi ni la CCM au la wananchi ?

Hivi jeshi ni la CCM au la wananchi ?

andazi

Member
Joined
Jun 7, 2025
Posts
47
Reaction score
209
Kuna video fulani nimeona uko instagram limenipa maswali kweli

Mwanajeshi ana simama kuimba nyimbo ya kumsifia rais na kumfurahisha kweli 🤣🤣🤣 hizi ni dharau hata jeshi la Burundi haliwezi kufanya upumbavu wa namna hii

Katika nchi hii tunahitaji revolution kwa aina yeyote ile kuondoa hawa miungu watu kuongozwa na watu ambao watakuwa tayari kuwa watumishi wa wananchi sio mabos wetu
 
She is the Commander in Chief. Akiagiza watu wapigwe risasi hakuna wa kumpinga. Akina Mkunda, Wambura n.k. ni kutekeleza tu!

JamiiForums934640752.jpeg
 
She is the Commander in Chief. Akiagiza watu wapigwe risasi hakuna wa kumpinga. Akina Mkunda, Wambura n.k. ni kutekeleza tu!

View attachment 3506887
Udikteta wake hujafikia hata robo ya mobutu ila alipigwa na wananchi wake akina laurent kabila ambao walijikusanya na kuangusha utawala wa mabavu wa mobutu ni swala la mda tu
 
Tz tuna jeshi la Hovyo sana.kinachowatofautisha na raia ni nguo zao tu.Toka siku ya maandamano nione ujinga wao Kwa Sasa nikikutana na mwanajeshi njiani nampiga Kofi na hanifanyi chochote
 
Unashangaa hiyo me nna video ikionesha askari wa JWTZ wakiwapiga wananchi siku ya tarhe 29 sema inagoma kuipandisha hapa
 
Back
Top Bottom