Hivi January Makamba na Nape wamechukua form za ubunge kweli?

Hivi January Makamba na Nape wamechukua form za ubunge kweli?

Hawa watu wawili sijaona wala kusikia kama wametia nia ya kutetea nafasi zao za ubunge kwa kuchukua form.
Kuna mwenye kujua lolote?
Unawatakia nini vilaza hawa, si bora hata hizo form zingechukuliwa na Lulu Diva au Wema maana wao japo hawatachangia chochote lakini watagawa uroda tu kwa wabunge wenzao na kuambukizana kale kagonjwa ketu.
 
Ubunge sio kazi ya heshima tena , na hii ni kutokana na kuwapeleka Dodoma wasanii kila mara , wamepazoea Sana Dodoma na wanapaona rahisi kuishi
Bunge la wahuni..
Nani muhuni muhuni watu wa hovyo aliweza hata kusogelea mlango wa bunge au hata fomu wakati wa bunge la spika marehemu sitta ama mama ana makinda ?
 
Labda wameelewa kuwa hakuna uchaguzi mwaka huu
1000043161.jpg
 
Back
Top Bottom