King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 51,644
- 68,594
Yani mengi kupost twitter mmeipa dkk 3? Ngoja na mie nifungue tv yangu niweke taarifa ya habari saa nzima sredi na post zangu za JF,Facebook na twitter
Nawasilisha.
Nawasilisha.
Mbona ueleweki mkuu sio watu wote wameangalia ITV, elezea kwa makini kilichotokea tujadili.
Nami nimeshangaa.
tazama channel ten na star kidogo afadhali.ITV NA tbc aibu
JAMANI ubadhirifu maana yake nn haswa? kutumia mali ya umma ovyo tu ama ni pamoja na kujipendelea bila kuaangalia maslahi ya hadhira? Kwani mtu wa kijini anajua twitter ni nn? Jamani itv mnafanya ndivyo sivyo.
Searching...100%
Loading...0%
Network failed !
yaani kwa kuwa TIFI ni yake, Pia watamuonyesha na massaweeee anakunywa mbeke!!!!!
MIZAMBWA
INANIUMA SANA!!!