Hivi inawezekana kuishi na mwanamke mmoja toka kuzaliwa mpaka kufa?

ibra87

R I P
Jul 22, 2015
5,614
5,351
Wasalaam wakuu

habari za masiku tele?

Bila shaka muwazima wa afya kama kawaida.

wakuu na wanajf wote kwa ujumla nina swali la kuwauliza. swali hili nimekuwa nikijiuliza kwa muda mrefu nikawa nakosa majibu sahihi. Sasa naomba leo nililete kwenu ili tusaidiane kupata jibu ama majibu sahihi.

Hivi katika maisha yetu inawezekana kweli kuishi na mwanamke mmoja kuzaliwa kwako mpaka kufa kwako?

Je kuna watu ambao wamekufa ama kuzeeka wakiwa wametoka kimapenzi na mtu mmoja tu ambaye ndiye mume au mke? Kama jibu ni ndio, ni nani mwenye ushahidi wa hilo?

Nawasilisha kwa majibu sahihi
 
Wasalaam wakuu

habari za masiku tele?

Bila shaka muwazima wa afya kama kawaida.

wakuu na wanajf wote kwa ujumla nina swali la kuwauliza. swali hili nimekuwa nikijiuliza kwa muda mrefu nikawa nakosa majibu sahihi. Sasa naomba leo nililete kwenu ili tusaidiane kupata jibu ama majibu sahihi.

HIVI KATIKA MAISHA YETU INAWEZEKANA KWELI KUISHI NA MWANAMKE MMOJA KUZALIWA KWAKO MPAKA KUFA KWAKO.. JE KUNA WATU AMBAO WAMEKUFA AMA KUZEEKA WAKIWA WAMETOKA KIMAPENZI NA MTU MMOJA TU AMBAYE NDIYE MUME AU MKE? Kama hilo ndilo ni nani mwenye ushahidi wa hilo? nawasilisha kwa majibu sahihi
Hakuna kitu kama hicho
 
Nafikiri ni nature yetu mkuu,yani haiwezekani kuanzia siku unabarehe mpaka siku unakufa uwe umegegeda mwanamke mmoja tu.
Labda kama unamatatizo.
Kwanza kuna ile kitu inaitwa shake well before use
kwahiyo hukubaliani na hilo kwa kuwa unatakiwa kuhakiki kama mali ni salama au la
 
aisee huwa unajishtukia tu usha date zaidi ya mmoja na wengine wanazidi kuja labda ukiniambia kuoa mke mmoja tu hiyo inawezekana na wengi wameshafanya ivyo ila kujihusisha na mmoja tu hiyo pia labda ipo lakini nina imani watakuwa wachache sana
 
huo sasa utakuwa uboya, tukichukua mmoja mmoja wengne watafadhiliwa na nani?
 
Kiukweli, had sasa inawezekana nishajaza Mabasi ya Abood kama tatu hivi, wale wa Moro DSM wanayafahamu
 
Mie nina watu ambao nawajua walikuwa wapenzi tangia wako primary na sasa ni mke na mme. So inawezekana.
 
Dah we jamaaaa we! Inawezekana sana. kuna jamaa walokole haswaaa hawado hadi waoane. Ilaa ile kibaba baba na kimama mama walichezaaa.
 
Back
Top Bottom