Muda mwingine mazingira yanabana hata akili inastak,kwa mfano ukiona mke wa mtu anakunga'ang'ania na yuko tayari kufanya chochote ili awe na ww,na unavyojua mwanamke akiamua kitu mwanaume hana ujanja,au ni student wa kike na unajua kabisa hapa lazima jela inakuita,na wanafanya hivyo kwa kuto kujua ama kujua yatakayo kukuta mwisho wa siku unaishia kulalamika tu ila kuna wengine wanayataka wenyewe!