Hivi inakuwaje?

Genetic/vipaji pia vinahusika (mf. wanariadha wa Kenya na Ethiopia) lakini mara nyingi ni mwingiliano wa athari za kimazingira pamoja na kuwekeza sana kwenye eneo husika kwa muda mrefu. Wale wanaoonyesha vipaji wanagunduliwa mapema na vipaji vyao vinaendelezwa na kunolewa sawasawa ikiwemo kupatiwa exposure ya kimalimwengu. Jamii pia inawakubali na inajivunia mafanikio yao kwa sababu ni heshima ya taifa zima. Wanaepuka kufanya mambo kienyeji enyeji...

Hata ungekuwa na kipaji kiasi gani bila kipaji hicho kugunduliwa mapema na kuendelezwa ni kazi bure. Soma historia za maisha ya mabingwa hawa wa michezo kimataifa. Wengi wao wamegunduliwa wakiwa wadogo na wakaanza kuhenya kuanzia wakati huo mpaka hatimaye wakaweza kufikia kilele cha mafanikio yao. Ni life long sacrifice na hakuna ubabaishaji wala njia za mkato!!!
 
Vipaji Na maandalizi ya Kibinafsi.
Mfano wanamuziki wengi Dunia wanaanzia kuimba shuleni,Madrasa Na makanisani.Vipaji vyao huengezwa Na Wazazi Au wadhamini ndio wanakuwa wanamuziki wakubwa.Hapa Tanzania waimbaji wengi kama Diamond,Kina Kiba,Chege Na wengine wengi wameanzia madrasa kuimba Qasida.
Wanariadha wa kenya Na Ethiopia NI vitega uchumi Kwa hiyo watoto wengi wanataka kuwa maarufu.
USA vijana wengi weusi wana ndoto za kuwa "basketball.baseball Na football players" sababu inalipa.
Hata Kwa wasomi wengi watoto wao wanakuwa wasomi Kwa sababu wazazi ndio Mfano kwao.
 
....sehemu fulani wanatokea watu wenye vipaji pekee?

...Mfano,Kenya wanariadha?,

....Nigeria na Ghana wanao, wanamichezo wengi wa football.

...ni genetic au ni nini?
Ok mrembo,nakujibu kitaalamu,Kenya iko juu(high altitude) its in the region of about 3300 mtr above sea level,kwa maana hiyo wana upungufu wa oxygen air,sababu the higher the altitude the less the oxygen,hivyo basi ujue wanariadha wao wanakimbia kwenye mazingira yenye upungufu wa oxygen,automatically hali hiyo huwafanya kujenga more oxygen pockets in their hemoglobin Red blood cells),kwa hiyo wana more pockets za kuhifadhi oxygen in their red blood cells as a result,kwa hiyo hao wote waliokulia katika altitude ya juu namna hiyo,wana uwezo wa kuwa na pumzi nyingi na kwa muda mrefu wakimbiapo bila kuishiwa pumzi,huwafanya wakimbie mbio ndefu sana bila kupungukiwa pumzi kwa sababu wamehifadhi pumzi nyingi kwenye mapafu yao,hiyo huwafanya wasichoke au kupunguza speed.
 
Back
Top Bottom