Hivi inakuwaje wale wanaomwaga maji?

Hivi inakuwaje wale wanaomwaga maji?

Me wangu mbona alisema KAIRO nakojoa nasikia kabisa kibofu kimejaa. Baada ya muda speed nikapunguza akasema mkojo umepotea

Iyoo imekaa je mkuu?
Ungeendelea..wala sio spidi sana iwe ya kawaida tu..kingine mwambie akisikia hali hiyo asizuie aachie tu..wala asiogope wala kukuone aibu.

Enjoy the ride


#MaendeleoHayanaChama
 
Asante mkuu kwa kumuelewesha manaa kama kuwafikisha kileleni nawafikisha tatizo maji hawamwagi

Yaani wewe ni sawa mtu anayesema amewafika Dsm ila hajawahi fika Posta. Kuna Squirting, orgasm na Cumming Mkuu, Hivi vyote vipo kwa wanawake nenda ukajifunze. Kama utahitaji elimu niambie
 
Akii ntaona aibu kuanika godoro mikunjo fresh tu , ila hiyo mimaji hapana kwanza siyo maji ni mamikojo msituzuge hapa[emoji12]
Hata mi huwa siamini kuwa ni maji ila ni mkojo wanaokuwa wameubana. Maji ya sex ni yale yenye utelezi na yenyewe hupungua nguvu ya utelezi pindi mwanamke akifika kileleni. Huwa yanabadilika viscosity yake na kuwa malaini sana.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom