zagarinojo
JF-Expert Member
- Jul 26, 2020
- 2,622
- 2,835
Hello dear JF users. Huwa ninajiuliza shida iko wapi au inakuwaje mpaka mtu anafikiria ku rape mwanafunzi tena wakati mwingine mdogo hata usivyodhania.
Ina maana mtaani anakosa mwenza wa kushiriki nae kwa hiari au ndo wale mnaosemaga hawajui Ku flow verse/kutongoza.
Halafu Una m-rape MTU ata bila hiari unadhani hata utahisi wanavyohisi wale wanaoshiriki kwa hiari?
Ina maana mtaani anakosa mwenza wa kushiriki nae kwa hiari au ndo wale mnaosemaga hawajui Ku flow verse/kutongoza.
Halafu Una m-rape MTU ata bila hiari unadhani hata utahisi wanavyohisi wale wanaoshiriki kwa hiari?