Salaam, nimefuatilia mwenendo wa siasa za sasa za africa na tanzania zinalenga zaidi watu kulipuana badala ya kujadili hoja kama ilivyo kuwa kwa wapigania uhuru walikuwa na agenda badala ya watu ama majina. Mnasemaje wadau
Salaam, nimefuatilia mwenendo wa siasa za sasa za africa na tanzania zinalenga zaidi watu kulipuana badala ya kujadili hoja kama ilivyo kuwa kwa wapigania uhuru walikuwa na agenda badala ya watu ama majina. Mnasemaje wadau
Agenda yetu kuu ni kuondoa UMASIKINI.
Kuna ubaya gani kuwajadili MAFISADI na Magamba ambao wanachangia kuongeza huo UMASIKINI na kusababisha hali zetu kuwa mbaya?