Hivi huyu dem ananifikiliaje?

Hivi huyu dem ananifikiliaje?

Mastamind

JF-Expert Member
Joined
Apr 30, 2013
Posts
1,316
Reaction score
840
Nilipokua chuoni alikuwepo demu mmoja niliyemuacha mwaka mmoja nyuma,wakati nilipomjua alikua anagegedwa na Lecturer wazi kabisa kila mmoja akawa anajua, me ckujali nikajitosa kwa utelezi wa room mate wake ambae tulikua nae clax 1, nilikaza sana nikaambulia romance tu tena room kwake ila kumgegeda akabana na yote hofu kubwa alimuogopa ticha angejua angeweza hata kumdisco,tukaendelea na romance tu mpk nilipomalza na kumuacha chuo,
walipofunga alikuja Mbeya kwa dadake akanitafuta na kuja hadi geto ila nikaona noma kutake fursa kwa vile angeniona dhaifa na hata hvyo alikua kapendeza sn na kiukwel co type yangu ni classic sana, tulikaa nae takriban masaa matano ila katikat alinitega kwan ilikua ni saa saba mchana hiv akasema ikifika saa kumi naondoka, me ckujal nikajua neno la kawaida2 kimbe alitaka nimgegede, baadae akaondoka jion anantumia sms angejua ningemgegeda ila nikambwela, nilimdenda arud kesho yake ila akawa bulidi,
aliporudi siku nyingne siku mbili kabla yakufungua chuo nilimgegeda bila kukunja goti ila alipofika chuo tu kumpata kwny simu ikawa tabu, hapokei wala nini siku ukimpata anakwambia yuko disc atanipigia bt hapigi ng'ooo,, ikafika wakati nikaachana nae kabisa siku fulan akatuma sms "Hivi kama unanipenda kweli unajua naishije huku" akiwa na maana HELA,, Nilimjibu hatak mawasiliano me ntajuaje shida zake,,hatukuwSiliana tena mpk alipofunga chuo akaja tena kwa sista wake akawa anakuja nitembelea ila nikawa naogopa kumgegeda naogopa maradhi,,tukazoweana sana had anapokea simu za mabwana zake mbele yangu me cna hata wazo namtoa lunch na maeneo mengne yuko huru tu kuchat kupikea simu za mabwana zake nw ni leisure free,,, me cna tym,, amekua ananieleza anataka kwenda Australia akirudi huko anakuja angusha jumba matata na anadrive wakati ndio yuko mwaka wa pilu chuo uwezo wao kifamilia kawaida sana hawana kitu njaa tupu hata lap top hana

Hoja ni ananifikiliaje napompa uhuru wote huo kufanya lolote mbele yng tofaut na zaman alikua hapokei sim ya mtu nikiwa nae
 
Usiumie kichwa, hapo haupo kwenye mahesabu yake naye hayupo kwenye mahesabu yako ya mapenzi. Ishini tu kama mabest, ila ukitaka papuchi kaombe kwingine naye akitaka pesa msaidie tu ukiweza
 
Safi sana mpe uhuru na wala usimbane sana ww kazi yako kula mzgo hizo mbwembwe zake za australia achana nazo we kula vyako tu ila kuwa makini na magonjwa ukijifanya unampenda utaumia sana tena sana

Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
 
Hana time na wewe

Ila msomi jifunze kuandika aisee

Cna
Clax
Nilipomalza
Sim
Co
Ckujal
Arud
Kwny
Bt

Khaaaaa
 
mhhhhhhhhh mapenzi haya hapo huna chako ndugu yangu ila mwambie aache dharau unashindwaje kuonyesha msimamo hata kama huna pesa mpe makavu live bhana
 
Uvulana kweli kazi...sasa ndio maswali gani haya unauliza?

yaani brother nakuambia tenagers ni shida..story nyingine kama zinatungwa..hebu angali alivyoanza ee.
"Nilipokua chuoni alikuwepo demu mmoja
niliyemuacha mwaka mmoja nyuma,"
maana yake ameshamaliza chuo...then mwishoni anasema huyo dem sasa yupo mwaka wa pili sasa...anyway sijajua chuo chake ni.miaka mingapi..ila.zaid aliposema "kwao maisha ni magumu hana hata laptop" inaonyesh kwake laptop ni kitu cha maana sanaa..then akasema dem ni classic "anadrive"
sasaa mkanganyiko wote huu kwangu naona kama ni story ya.kutunga ama ameongeza uongo ama poor presentation..hawa ndo wavulana na story zao jamani..
 
Safi sana mpe uhuru na wala usimbane sana ww kazi yako kula mzgo hizo mbwembwe zake za australia achana nazo we kula vyako tu ila kuwa makini na magonjwa ukijifanya unampenda utaumia sana tena sana

Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums

kweli kaka ndo navyoishi nae hivyo simuwaziagi hata chembe paspot yenyw nimemhangaikia mie ila cna hata muda wa kumuuliza anaendaje kwa nan wala lini nachekagga2 anapopokeagga cm zake mbele yng na mie namzalau2,,
 
Nilipokua chuoni alikuwepo demu mmoja niliyemuacha mwaka mmoja nyuma,wakati nilipomjua alikua anagegedwa na Lecturer wazi kabisa kila mmoja akawa anajua, me ckujali nikajitosa kwa utelezi wa room mate wake ambae tulikua nae clax 1, nilikaza sana nikaambulia romance tu tena room kwake ila kumgegeda akabana na yote hofu kubwa alimuogopa ticha angejua angeweza hata kumdisco,tukaendelea na romance tu mpk nilipomalza na kumuacha chuo,
walipofunga alikuja Mbeya kwa dadake akanitafuta na kuja hadi geto ila nikaona noma kutake fursa kwa vile angeniona dhaifa na hata hvyo alikua kapendeza sn na kiukwel co type yangu ni classic sana, tulikaa nae takriban masaa matano ila katikat alinitega kwan ilikua ni saa saba mchana hiv akasema ikifika saa kumi naondoka, me ckujal nikajua neno la kawaida2 kimbe alitaka nimgegede, baadae akaondoka jion anantumia sms angejua ningemgegeda ila nikambwela, nilimdenda arud kesho yake ila akawa bulidi,
aliporudi siku nyingne siku mbili kabla yakufungua chuo nilimgegeda bila kukunja goti ila alipofika chuo tu kumpata kwny simu ikawa tabu, hapokei wala nini siku ukimpata anakwambia yuko disc atanipigia bt hapigi ng'ooo,, ikafika wakati nikaachana nae kabisa siku fulan akatuma sms "Hivi kama unanipenda kweli unajua naishije huku" akiwa na maana HELA,, Nilimjibu hatak mawasiliano me ntajuaje shida zake,,hatukuwSiliana tena mpk alipofunga chuo akaja tena kwa sista wake akawa anakuja nitembelea ila nikawa naogopa kumgegeda naogopa maradhi,,tukazoweana sana had anapokea simu za mabwana zake mbele yangu me cna hata wazo namtoa lunch na maeneo mengne yuko huru tu kuchat kupikea simu za mabwana zake nw ni leisure free,,, me cna tym,, amekua ananieleza anataka kwenda Australia akirudi huko anakuja angusha jumba matata na anadrive wakati ndio yuko mwaka wa pilu chuo uwezo wao kifamilia kawaida sana hawana kitu njaa tupu hata lap top hana

Hoja ni ananifikiliaje napompa uhuru wote huo kufanya lolote mbele yng tofaut na zaman alikua hapokei sim ya mtu nikiwa nae
Your post is contrary to your own avatar! Please change your avatar
 
Usiumie kichwa, hapo haupo kwenye mahesabu yake naye hayupo kwenye mahesabu yako ya mapenzi. Ishini tu kama mabest, ila ukitaka papuchi kaombe kwingine naye akitaka pesa msaidie tu ukiweza

uko sawa kabxa ila la hesabu najua anafanya hivyo coz kaniona cjali na amegundua cna tym nae toka nimgegede huku nikijua yuko na tcha na kuzngua mawasiliano na ckumjali mpk leo
 
kweli kaka ndo navyoishi nae hivyo simuwaziagi hata chembe paspot yenyw nimemhangaikia mie ila cna hata muda wa kumuuliza anaendaje kwa nan wala lini nachekagga2 anapopokeagga cm zake mbele yng na mie namzalau2,,

are u mastamind kwel?maana unavyolia lia tu, alafu unasaidiwa kugongewa...alafu unasema bado unamzadharau tu! Unamdharau au yeye ndo anakuona boya? Be a man aisee!
 
Back
Top Bottom