Anawaza imekuaje amempenda mwanaume huyu ambaye anakiss nae sasa wakati zamani alikuwa hataki hata kumsikia.![]()
Hapa mimi sielewi, je atakua anamringishia mtu aliyeko hapo pembeni yao au kuna kitu anawaza na je atakuwa anawaza nini hapo.................!!!????
Kwani wewe hukuweza hata kuvuta picha kutokana na post zake...?
Lazima ana sababu.....hii mbona huwa tunafanya sana.........[/QUOTE] oooooook kumbe kila siku ni kusoma hii dunia
...mtajeeeeeeahahhaaaami namjua anayemringishia............:gossip:
Lazima ana sababu.....hii mbona huwa tunafanya sana.........
..nasubiria tunong'onezane masikioni...ntakunong'oneza peke yako........ kipaji halisi
Alikuwa hayupo comfortable kwakufanya hivyo mbele ya adhara ila hakutaka pia kumkwaza mpenzi wake kwa hakuwa tayari kumkatalia mwenziye aliyekuwa tayari kaisha chomoa ulimi ili ale denda!!!