Hivi huko Guangzhou hakuna TANROADS na NEMC

Hivi huko Guangzhou hakuna TANROADS na NEMC

Jadi

JF-Expert Member
Joined
Aug 2, 2011
Posts
1,494
Reaction score
864
Jamani nazunguka huku na njia za kutoka mjini natafuta mita 120 za kimara sizioni, natafuta mambo ya kujenga ufukweni na kando ya mito sioni ujinga kama wa NEMC, hivi sisi ni nani alituroga jamani? Hivi visiwa vya Maldives na Bora Bora vingejengwaje? Hawa wapuuzi wana akili za kimaskini
 
Jamani nazunguka huku na njia za kutoka mjini natafuta mita 120 za kimara sizioni, natafuta mambo ya kujenga ufukweni na kando ya mito sioni ujinga kama wa NEMC, hivi sisi ni nani alituroga jamani? Hivi visiwa vya Maldives na Bora Bora vingejengwaje? Hawa wapuuzi wana akili za kimaskini
Mkuu vipi, mbona Tanzania siyo kisiwa
 
Ndio maana nikasema siyo kisiwa kwamba ardhi ni kidogo
Ukubwa wa Ardhi hauhalalishi kuzuia kujenga fukweni. Hoja ya msingi ya mtoa mada hiyo marufuku tija yake ni nini na kama watu wakijenga karibu na fukwe madhara yake ni nini?
 
Nasikia pale kimara katikati ya barabara wanajenga uwanja wa mpira ili game zikiisha ndani kwa ndani mnasepa na mwendokasi. Nchi ya miujiza hii
 
Jamani nazunguka huku na njia za kutoka mjini natafuta mita 120 za kimara sizioni, natafuta mambo ya kujenga ufukweni na kando ya mito sioni ujinga kama wa NEMC, hivi sisi ni nani alituroga jamani? Hivi visiwa vya Maldives na Bora Bora vingejengwaje? Hawa wapuuzi wana akili za kimaskini
Kama huoni ujue wewe ni sehem ya wao kukataza kujenga makazi maeneo hayo
 
Jamani nazunguka huku na njia za kutoka mjini natafuta mita 120 za kimara sizioni, natafuta mambo ya kujenga ufukweni na kando ya mito sioni ujinga kama wa NEMC, hivi sisi ni nani alituroga jamani? Hivi visiwa vya Maldives na Bora Bora vingejengwaje? Hawa wapuuzi wana akili za kimaskini
Wewe China population Sawa na Tanzania ?robo Ya watu duniani wanaishi china . Kule shida ya ardhi kubwa ziko nyumba hadi juu Ya maji zile zinazoelea mitoni maziwani na baharini.
 
Ukubwa wa Ardhi hauhalalishi kuzuia kujenga fukweni. Hoja ya msingi ya mtoa mada hiyo marufuku tija yake ni nini na kama watu wakijenga karibu na fukwe madhara yake ni nini?
Wakinya watu watajula samaki zenye mavi yao
 
Wewe China population Sawa na Tanzania ?robo Ya watu duniani wanaishi china . Kule shida ya ardhi kubwa ziko nyumba hadi juu Ya maji zile zinazoelea mitoni maziwani na baharini.
Yeye kazungumzia guangzhou na barabara na mita 120. hayo mambo ya nyumba za baharini yanaingiaje.Guangzhou unaijua kwanza?
 
Yeye kazungumzia guangzhou na barabara na mita 120. hayo mambo ya nyumba za baharini yanaingiaje.Guangzhou unaijua kwanza?
Mshamba huyo anatembelea kimji kimoja halafu anajitia anajua China!!!!!!
 
Jamani nazunguka huku na njia za kutoka mjini natafuta mita 120 za kimara sizioni, natafuta mambo ya kujenga ufukweni na kando ya mito sioni ujinga kama wa NEMC, hivi sisi ni nani alituroga jamani? Hivi visiwa vya Maldives na Bora Bora vingejengwaje? Hawa wapuuzi wana akili za kimaskini

fanya mpango wa mapicha mkuu
 
NEMC na mihemko kwenda mbele!! Tanroad wako juu ya sheria siku hizi pia wao ! Zaidi ya traffic nao wanakamata magari na kuyapiga fine laki 2! Amri Toka juu!!
 
NEMC na mihemko kwenda mbele!! Tanroad wako juu ya sheria siku hizi pia wao ! Zaidi ya traffic nao wanakamata magari na kuyapiga fine laki 2! Amri Toka juu!!
Tatizo tuliowengi wazito kuchukua hatua, kwani mtu unapigwa faini laki 2 amri toka juu, nawe unalipa bila kutafuta usahihi, kwani sheria inasemaje?
 
Jamani nazunguka huku na njia za kutoka mjini natafuta mita 120 za kimara sizioni, natafuta mambo ya kujenga ufukweni na kando ya mito sioni ujinga kama wa NEMC, hivi sisi ni nani alituroga jamani? Hivi visiwa vya Maldives na Bora Bora vingejengwaje? Hawa wapuuzi wana akili za kimaskini
Hata mimi nimekuwa najiuliza hivyo hivyo. Pengine sheria zetu ni za akiba ya barabara ni pekee ktk dunia. Juzi nilipita barabara ya morogoro. Nilitoa machozi kwa kile nilichokiona. Hakuna lugha ingine unayoweza elezea sura niliyoiona zaidi ya unyama na kukosa ubinadamu na kutokuwa na hofu ya Mungu.
 
Back
Top Bottom