TheDreamer Thebeliever
JF-Expert Member
- Feb 26, 2018
- 2,490
- 3,534
Habari wana JF!
Leo nataka tuzungumze swala la wanyama na wanyamapori.
Katika shughuri zangu za kubangaiza za udalali wa nyumba nilimpeleka mama mmoja kupanga nyumba mjini Dar cha ajabu yule mama akumaliza hata mwezi alinipigia sim akitaka nimtafutie sehemu nyingine sababu yule mzee alikuwa anafuga mbwa takribani sita harafu ikifika saa 3 usiku anawafungulia kwa hiyo mama alikuwa anashindwa hata kutoka nje au kuingia ikifika usiku wa mida hio mpk awasiliane na mwenye nyumba.
Hoja yangu ni hii hawa wanaofuga mbwa wote wanapata vibali kutoka serikali,wanavitoa wapi??.Maana nilisikia kwamba kifo cha Kingunge Ngombaru kilitokana na ajari ya mbwa.
Pia nimeona Durbai kule nilipoenda kula bata zangu kuna maboss wanamiliki Chui au Tigger ama Simba ,nchi nyingine mtu anamiliki Tembo .
Kwa hapa Tanzania haya maswala yapo vipi wadau maana nina mpango wa kumiliki Tembo wawili kwa ajiri ya kilimo na Chui mmoja kwa ajiri ya ulinzi badala ya mbwa,nitawachukua wakiwa watoto kabisa niwafuge.
Je Tanzania naweza kufanya hivyo naomba nipewe ufafanuzi jamani.
Leo nataka tuzungumze swala la wanyama na wanyamapori.
Katika shughuri zangu za kubangaiza za udalali wa nyumba nilimpeleka mama mmoja kupanga nyumba mjini Dar cha ajabu yule mama akumaliza hata mwezi alinipigia sim akitaka nimtafutie sehemu nyingine sababu yule mzee alikuwa anafuga mbwa takribani sita harafu ikifika saa 3 usiku anawafungulia kwa hiyo mama alikuwa anashindwa hata kutoka nje au kuingia ikifika usiku wa mida hio mpk awasiliane na mwenye nyumba.
Hoja yangu ni hii hawa wanaofuga mbwa wote wanapata vibali kutoka serikali,wanavitoa wapi??.Maana nilisikia kwamba kifo cha Kingunge Ngombaru kilitokana na ajari ya mbwa.
Pia nimeona Durbai kule nilipoenda kula bata zangu kuna maboss wanamiliki Chui au Tigger ama Simba ,nchi nyingine mtu anamiliki Tembo .
Kwa hapa Tanzania haya maswala yapo vipi wadau maana nina mpango wa kumiliki Tembo wawili kwa ajiri ya kilimo na Chui mmoja kwa ajiri ya ulinzi badala ya mbwa,nitawachukua wakiwa watoto kabisa niwafuge.
Je Tanzania naweza kufanya hivyo naomba nipewe ufafanuzi jamani.