demokrasia
Member
- Apr 6, 2011
- 52
- 5
Huyo binti inawezekana hajitambui! Inawezekana vipi mtu unasaidiwa kiasi hiki halafu unamlipa aliyekusaidia matusi, dharau, kejeli na kashfa? Na wasiwasi na msimamo wa huyo binti. Inawezekana rafiki zake hao anaowasimulia huwa wanahongwa hivyo vitu anavyovisema (magari, pesa nk) na mapedeshee wa hapa mjini na kufanyiwa mambo machafu na pengine hata kupewa magonjwa na kujikuta na yeye pia anafikiria ktk level hiyo ya kuhongwa!
Kitu anachotakiwa kukitambua ni kuwa yeye ni mkeo mtarajiwa na si mpenzi tu wa kupita wa kuishi maisha ya kuhongana bali mtu ambaye mna future naye. Kwa mtu na mchumba wake huwa hakuna kuhongana bali kushirikiana na kusaidiana kwa ajili ya kuboresha maisha yenu ya mbeleni.
Cha msingi muonye na hilo lililojitokeza na ni vzr kumonitor tabia zake pamoja na hao marafiki zake wa karibu. Ukiona hazibadiliki bado anaendeleza tamaa na dharau achana naye kabla huja-invest sana kwake utapata mwingine. Akibadilika msamehe na kusahau na kuanzisha maisha mapya.
Pole mkuu. :twitch:
Keshapata msomi mwenzake wa kumuoa huyo. Wewe amekugeuza ATM kaka. Kama ulishajitambulisha kwa wazazi wake, unaweza ukawaheshimu wazazi wake kwa kuwapa taarifa za kuachana nae. Pia huyo demu piga chini mapema, akufai, waachie wenye magari wachukue mzigo.
hivi mnaosema wanaofanya kazi wawaache wanafunzi hao mnamaana gan? Kwan mtoa mada si kasema huyo ni mwanafunzi wa chuo? Mmeulza umri wa huyo mwanafunzi? hivi chuo hamna wenye ndoa zao?
Kaka hata mimi ni msomi, sio kwamba nilikuwa na demu ambaye ananizidi elimu.