SonGod emo
Member
- Apr 5, 2012
- 17
- 12
Kwa watu wengine inaweza kuwa kama tuko ndotoni lakini huwezi kuamini kama nchi hii kuna watu wanaishi kama wakimbizi .Inasikitisha sana kuona kiongozi anaamuru polisi kuchomea wananchi nyumba zao kisa eti wamejenga kwenye hifadhi wakati wanajenga mlikuwa wap? Mmechoma nyumba zao isitoshe na vyakula walivyokuwa wamehifadhi kweli hii ni Tanzania au ndo tunaelekea kuwa kama Somalia au Eritrea maana na hao walianza hivi hivi kwa kweli inauma kuona mtu kwenye bchi yako unafukuzwa kama mbwa koko asiye na mwenyeji upinzani wakiliongelea eti wanavuruga Aman ya nchi sasa imefika mahali pa kusema imetosha kunyanyaswa .