Hivi hii ni kweli jamani?

Hivi hii ni kweli jamani?

Mkuu let say mtoa uzi ndo anafanya hiyo research..embu mpe ushirikiano ww ukiwa kama sample

mimi nashindwa kujua kwa sababu sina idea kuwa urefu unaanzia sentimita ngapi. but the objects of my "mikasi" hawajawahi kulalamika
 
Nimewahi kusikia mara nyingi ...labda sasa niifanyie uchunguzi.
 
Mdau yuko sahihi sana na hii resech c ya mtu mmoja.
 
Habarini wana MMU?

Kuna habari niliwahi sikia hapo zamani kuwa ukubwa wa mdomo kwa akina dada na mwanya kati ya vidole vya miguu hasa kidole gumba na cha nne vina uhusiano na ukubwa wa papuchi?

Wadau wenye uzoefu wekeni data za tafiti zenu
 
Back
Top Bottom