Pawaga
JF-Expert Member
- Feb 14, 2011
- 1,330
- 966
Habari wana JF?,jamani mi leo nilikuwa nasikiliza redio fulani wanaelezea kuhusu mauaji ya kimbali...kiukweli maelezo yake yalikuwa tofauti na ninavyoelewa mimi,.mfano alisema-namnukuu: mauaji ya kimbali ni uharibifu wa kitaratibu na kimchakato,kikamilifu au kwa kulenga sehem ndogo ya kikundi cha kikabila,kirangi,kidini au kitaifa. Tuanzie hapo kwny definition,alikuwa sahihi au alipotoka?. Msaada pls kwa anaejua maana kafuta kbs nlichokuwa naelewa.