Tanki
JF-Expert Member
- Apr 7, 2013
- 538
- 248
wakuu, kuna mtu anataka kuniuzia Laptop huku mtaani.
Ni Laptop aina ya COMPAQ
Ram 2GB
CPU 900 @2.20ghz
Harddisk 250GB
BEI ni 300,000
ila betri yake
inasumbua.
( sasa wakuu, hivi kwa hii bei na hizo specifications ni sawa kweli???. Mi sina ujuzi na hizi Laptop. Arafu naomba kujuzwa, hivi kwenye hii Laptop naweza kuweka proglam ya ADOBE???? ( mambo ya kuedit picha na videos ).
Ni Laptop aina ya COMPAQ
Ram 2GB
CPU 900 @2.20ghz
Harddisk 250GB
BEI ni 300,000
ila betri yake
inasumbua.
( sasa wakuu, hivi kwa hii bei na hizo specifications ni sawa kweli???. Mi sina ujuzi na hizi Laptop. Arafu naomba kujuzwa, hivi kwenye hii Laptop naweza kuweka proglam ya ADOBE???? ( mambo ya kuedit picha na videos ).