Hivi hii inawekana?

Hivi hii inawekana?

Bi dentamol

JF-Expert Member
Joined
Feb 1, 2014
Posts
1,038
Reaction score
2,189
Naomben msaada wenu nimepata tatizo kidogo kwenye familia kuna mtu katunga kitu na icho kitu alitumiwa msg ijumaa jinsi ya kuandaa hii kesi
Je nauliza kuna uwezekano nikapata mtu wa voda hata kwa kumpa kidogo akanionyesha tu sms za siku husika???
 
Haiwezekani; kamwe haitowezekana chini ya jua, hata Magufuli ilikuwa ngumu sana kufanya hivyo, ila alifanya, kinyume na utaratibu WA kawaida.

Kama una access na hiyo simu, Kuna app unaweza kukusaidia, ila lazima uishike angalau kwa dakika 10 na uwe na access nayo ya kuhusu, then inawezekana

Ukweli una tabia ya kusimama peke yake, simamia ukweli, na uwe na huo msimamo, tembea nao, usiyumbe hata bila ushahidi.
 
Kama SI Cha kweli na hakikudhuru kiafya na umekitolea ufafanuzi TAYARI ishia hapo kunitetea ZAIDI ni UDHAIFU


Kaa kimya
 
Kama SI Cha kweli na hakikudhuru kiafya na umekitolea ufafanuzi TAYARI ishia hapo kujitetea ZAIDI ni UDHAIFU


Kaa
 
Hata km siyo leo wala kesho ukweli utajulikana tuu km hujatenda
 
Mtu akikuzushia kitu, na wewe unajikuta unatumia muda,nguvu na juhudi kuuthibitishia ulimwengu kuwa hukufanya basi jua tayari umeshapoteza pambano.

Mimi ukinizushia kitu, wewe na huyo atakaeamini wote ni wapuuzi na wasengenyaji.

Kama umeambiwa kitu kisicho sawa, kwa nini usije straight ukaniuliza???

Mie kuna bosi wangu fulani ilikuaga ukimpa umbea kuhusu mfanyakazi mwingine, ikatokea muda mkakutana wote watatu kwa pamoja ni lazima atauliza.

Wewe uliniambia fulani kafanya hivi na hivi, je ni kweli, hapo kama ni uongo lazima uone aibu.
 
Naomben msaada wenu nimepata tatizo kidogo kwenye familia kuna mtu katunga kitu na icho kitu alitumiwa msg ijumaa jinsi ya kuandaa hii kesi
Je nauliza kuna uwezekano nikapata mtu wa voda hata kwa kumpa kidogo akanionyesha tu sms za siku husika???
Mkuu achana na hiyo biashara kichaa
Simamia kile unaamini
 
Naomben msaada wenu nimepata tatizo kidogo kwenye familia kuna mtu katunga kitu na icho kitu alitumiwa msg ijumaa jinsi ya kuandaa hii kesi
Je nauliza kuna uwezekano nikapata mtu wa voda hata kwa kumpa kidogo akanionyesha tu sms za siku husika???
Fafanua usaidike
 
Back
Top Bottom