Hivi hii harufu ya baadhi ya mitaa ya jijini Dar naisikia peke yangu tu?

Karikoo mchikichini kule down Kuna nuka harufu za kashata, uvundo wa TBL na maji machafu

Still watu wanaishi na kupiga kazi Kama kawa


Ferry kunanuka samaki waliooza

Vingunguti Kuna nuka mavi ya mbuzi


Masaki,obey utapata harufu ya chumvi chumvi ya bahari
 
Karikoo mchikichini kule down Kuna nuka harufu za kashata, uvundo wa TBL na maji machafu

Still watu wanaishi na kupiga kazi Kama kawa...
Hata enzi zile alikuja mwanamuziki Michael Jackson alilalamika kwamba jiji linanuka, Alitukanwa sana kwamba anaringa, Limbukeni na kashfa nyingi tu tulimtupia, kumbe alikuwa sahihi, oh, we are very sorry for that !!
 
Ni kweli kabisa dar inanuka mno ni harufu ya kinyesi haswaaa. Wewe ni mtu wa 2 Sasa wa 1 alikuwa mfalme wa pop duniani. Mkuu dar siyo pa kukaa wamejaa omba2 wanajisaidia bara2ni mitaroni na kwenye maua! Yaani ni siwezi ishi apo kuna inzi wakubwa kama kumbi2! Dar ni majanga.
 
Ni kweli. Siku mbili zilizopita nilikuwa maeneo ya MWENGE . Kuna sehemu moja kwenye maduka ya pembezoni mwa bara
bara nilisimama kwa muda mrefu kidogo nikisubiri kuhudumiwa. Nilikuwa nasikia harufu ya mavi mavi.

Naangalia kwenye mtaro sioni mavi wala maji machafu Ila harufu ipo. Ile hali ilinishangaza sana. Mpaka nimeondoka baada ya kuhudumiwa niliacha hali Ile Ile ya harufu.
 
"...wapo wanayoipenda..."
"...siiongelei jambo hili..."
"...mji usiwe jiji la..."
"...kudhuru Zanzibar..."
Nk

Dah asante sana 'Taikuni la Fasihi'

Anyway hamia Olpopong' ndichi huko tuachie jiji letu
 
Dogo hizo harufu udsm zipo sana vyoo vya udsm nivichafu sana na chamber huwa zinaziba mno usitake kutudanganya
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…