Mangungo II
JF-Expert Member
- Jul 6, 2012
- 18,022
- 26,352
Hata enzi zile alikuja mwanamuziki Michael Jackson alilalamika kwamba jiji linanuka, Alitukanwa sana kwamba anaringa, Limbukeni na kashfa nyingi tu tulimtupia, kumbe alikuwa sahihi, oh, we are very sorry for that !!Karikoo mchikichini kule down Kuna nuka harufu za kashata, uvundo wa TBL na maji machafu
Still watu wanaishi na kupiga kazi Kama kawa...
Huko ndo kunanuka km mnwa aliyeozaSijafika huko Mkuu Ila nitaenda.
Maeneo mengi Yananuka hasa Maeneo ya Stend za Daladala.
Kesho nitakuwa na ziara ya Maeneo ya Posta yote, Feri, Upanga, na Kidogo Namanga
Namshauri ajinuse kwa ndumku pengine ana kimavi hajijuiMuhaya ametoka ulaya.
Kazi sana.
Umetuletea simu?
Ni kweli. Siku mbili zilizopita nilikuwa maeneo ya MWENGE . Kuna sehemu moja kwenye maduka ya pembezoni mwa baraNi kweli Dar ilikuwa hainuki hivi miaka michache iliyopita, nadhani baada ya ujenzi wa miundombinu, kuna vitu havijakaa sawa. Barabara ya kutoka Makumbusho hadi Mwenge hiyo harufu inasikika dhahiri, nahisi ni ule mtaro uliojengwa pembeni ya barabara hiyo
Ssio ferry tu majumbani Hii ipo sana..hii kuishi na vinyesi nyumbn ni mbaya Sana..wkt wa mvua wananchi wanazibua asiyejua hii ni naniumeenda feri
Pole sana...utaozea tu...
We itakua upo apo soko la shekilango embu toka hapo haraka
"...wapo wanayoipenda..."
"...siiongelei jambo hili..."
"...mji usiwe jiji la..."
"...kudhuru Zanzibar..."
Nk
Dah asante sana 'Taikuni la Fasihi'
Anyway hamia Olpopong' ndichi huko tuachie jiji letu
Dogo hizo harufu udsm zipo sana vyoo vya udsm nivichafu sana na chamber huwa zinaziba mno usitake kutudanganyaWakuu kwema!
Aisee! Baada ya kutoka kuzurura huko Duniani, sitaki kupataja nisijeonekana najikosha hapa, na wenye nongwa zao na vijiba vya roho wasije nitolea mvuke wa ushubwada. Ila ifahamike tuu nimetoka huko Dunia ilipo.
Kwa kweli Dar inanuka vibaya mno. Inanuka vitu mfano wa mavi, sijasema ni mavi jamani Ila ni kama hivyo.
Yaani Asilimia kubwa ya Maeneo yananuka chemba za maji taka. Nashindwa Kueleza hapa. Sitaki kugombana na wenye Dar yao, sitaki kabisa. Maana najua wapo wanayoipenda, ikumbukwe siiongelei Jambo hili Kwa ni mbaya lakini naongea ili Jambo Fulani lifanyike.
Halafu ukiwaona wakazi wa Dar ni Kana kwamba hawaisikii hiyo harufu, pengine wamekuwa sehemu ya harufu yenyewe, sijasema watu wa DAR mnanuka chemba za maji taka πππ. Maana wenye hasira hamkosekani.
Hata hivyo akili yangu ikanambia sio rahisi watu WA DAR kuisikia hiyo harufu mbaya ya mavi Kwa maana maisha yao ni ya taabu sana. Taabu zimeua mishipa ya Nostril ndani ya pua. Hawezi kunususa tena.
Hasa watu masikini wapanda Daladala, hawa ndio wanaoonja joto ya jiwe, hata hivyo wenyewe ni Kama joto Hilo hawalisikii kwani taabu imewafubaza na kuwafanya waone kila kitu Kama kipo Sawa.
Kipindi nasoma pale UDSM wala sikuwa najua Dar inanuka, nimekaa zaidi ya miaka mitano kama sio sita sikuwa naona hizo harufu. Labda Maeneo ya Tandale huko na viunga vya makazi ya WALIA NA MUNGU watu fukara apeche Alolo.
Najiuliza niliwezaje kuishi miaka mitano kipindi kile?
Nafikiri serikali ipitie tena miundombinu ya taka hasa mitaro ya maji taka ili mji usiwe jiji la harufu mbaya.
Wananchi wa Dar nanyi mjitahidi kuwa wasafi hata kama mmezoea harufu yenu mbaya kumbukeni wageni kama Sisi tunaotoka Duniani tunakujaga pia kuwasalimu.
Muwe na Haya hata kidogo.
Taikon nitakuwa DAR Kwa wiki tatu mfululizo kabla sijaenda kudhuru Zanzibar nikielekea kuchumbia Visiwa vya Comoro.
Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa mpalangeπ²π²π²π²
Wapi huko??
Da inanuka aisee , nishawahi ishu huo mji wenye harufu mbaya, nilipoondoka nilifurahi sana ila unanuka mnoSasa injinia tunafanyaje??
Da inanuka aisee , nishawahi ishu huo mji wenye harufu mbaya, nilipoondoka nilifurahi sana ila unanuka mno