HAZOLE
JF-Expert Member
- Feb 25, 2011
- 1,551
- 708
wapendwa wana JF, mdogo wangu alikuwa katika category ya "NO LOAN CONTRACT SIGNED"
swali;
inamaana kuna ki/vipengele hakusaini alipokuwa anapeleka?
na je kama ndo hivyo, anahitajika kupeleka upya?
na nimetazama batch mpya iliyotoka juzi na tena hayupo.
naombeni ushauri tufanye nini.
ahsanteni
swali;
inamaana kuna ki/vipengele hakusaini alipokuwa anapeleka?
na je kama ndo hivyo, anahitajika kupeleka upya?
na nimetazama batch mpya iliyotoka juzi na tena hayupo.
naombeni ushauri tufanye nini.
ahsanteni